nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Hizi tuzo za I CAN kwa wenye ulemavu waliofanikiwa zipo biasead sana kwanza wangeta tu ni ZA WANAWAKE WENYE ULEMAVU bz kuna wanaume wanashiriki kila mwaka na vigezo sawa hata kuwazidi hao wanawake ila wanaachwa pia mbona ulemavu umebezi kwenye viungo kama miguu tu?
Kuna watu kama VIZIWI, VIPOFU, WENYE VIGUGUMIZI na wengineo mbona hatuoni hata mwaka 1 wakishinda kila mwaka inakua marudio tu?
Badilikeni
Kuna watu kama VIZIWI, VIPOFU, WENYE VIGUGUMIZI na wengineo mbona hatuoni hata mwaka 1 wakishinda kila mwaka inakua marudio tu?
Badilikeni