George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Mwanakijiji, you are being selfish here. Your uncomfortability should not override the wish of many who have decided to nominate you not necessarily for the award or recognition but as a symbol of appreciation of the good work that you have been doing.
Instead of being uncomfortable I would advice that you remain humble and keep doing the good work. You have dared and crossed the line which most dont cross so accept the appreciation.
The unsung heroes are not ignored. Through you they get what they deserve. They will definately see how good their work has been through you and others!
Let the votes flow in. Some other people may be nominated or mentioned. As for that allow it to go on!
I am nominating Gurudumu for only one reason i.e. his thoughfulness to start this thread and bring the idea forward which has helped contributors to nominate MwanaKijiji for his fantastic work in here. Mwanakijij deserves the nomination as rightly made by members.
Nilitahadharisha kwa mwelekeo huo huo wa Mzee Mwanakijiji kwamba zoezi la KUMTAWAZA MPAMBANAJI MASHUHURU dhidi ya Ufisadi na Mafisadi kwa hapa JF bora tukausitishe kwanza.
Ni ukweli ulio dhahiri kwamba BADO TUPO KATIKATI ya vita hivi hivyo tukiaanza kupeana taji tungali bado tupo maeneo ya KAGERA na fisadi wetu kama alivyokua Nduli Iddi Amin mwenyewe bado yuko hai Kampala.
Hata kama tumewadhoofishwa kiasi gani, busara zinatuelekeza kwamba hawa MAADUI WA USTAWI WA TAIFA LETU mpaka pale tutakapowatia mikononi ndio watu tutaweza kutapisha juu hewani Shampen zetu lakini si kwa wakati huu. Endapo tutaendelea kulazimisha sana hili na basi tutambue kwamba MAFISADI NAO TUNAKESHA NAO HUMUHUMU - hakuna haja ya kuwatafutia wenzetu a POSSIBLE REST IN PEACE kwa bei rejareja kiasi hiki.
Unamuelekeza adui wako nguvu zako ziliko halafu baada ya hapo unategemea nini??? Haya mapambano tunayoyapigania leo hii, nionavyo mimi, wala si MCHEZO WA DENSI watu tukaanza mzaha mbele ya MAFISADI ambao kama tulivyo na uchungu na taifa, wao uchungu wao ni kung'olewa na ndio maana wanakesha nao kama sisi tuuuu, amkeni jaama!!!
Kigezo peke yake kinachoweza kumpima mtu kama ni mpambananji dhidi ya uovu na ukandamizaji ni pale mtu huyu anapokosa mshipa wa wogana anakuwa tayari kusema chochote hata mbele ya muuaji wak. Tanzania tumefika hapa kwa sababu hatuna watu waliokatika mishipa ya woga.Nyinyi hamnipendi nyinyi... wapo mashujaa ambao juu ya mabega yao sisi wengine tunasimama; mashujaa ambao hawatuzwi kwa nyimbo au ngoma; mashujaa ambao hawashangiliwi. Ni hawa ambao wako nyuma yetu sisi wengine. Ni wale ambao wako tayari kutudokeza ubovu, kutung'oneza chemba ili sisi wengine tuweze kuwa na ujasiri wa kuyasema hadharani yale tunayoyajua. Masuala yote ambayo tunafanikiwa kuyaleta hapa nyuma yake wapo mashujaa halisi ambapo pasi ya wao sisi wengine tungekuwa tunapiga makelele kama mavuvuzela yaliyotoboka.
Ni hawa ambao wanaitwa "the unsung heroes". Hawa ndio watu ambao kwa kiasi kikubwa na kwa namna ya pekee wamefanikisha mapambano haya hadi leo hii na wanaendelea kusimama kufichua ufisadi katika sehemu zao za kazi au wanaokutana nao. So... ukiniuliza mimi kura yangu inawaendea hawa mashujaa wasio na majina wala sura, ambao hata sauti zao sisi wengine hatuzijui lakini tunajua kuwa wapo.
Binafsi sistahili kuhesabiwa miongoni mwao kwani ninachofanya chaweza kabisa kufanywa na mtu yeyote akiamua tu kuvuka mstari wa woga na kutokujiamini. Nashukuru wale ambao wamenitaja lakini naomba tuwashukuru na kuwatuza hawa mashujaa wetu wasiotuzwa bado.
I recommend Malaria Sugu
I recommend Malaria Sugu
1.Mzee mwanakijiji
2. Dr.W.Slaa
These two make a good pair,i think conceptually what they do is like a team and its a winning team!
+ the others i don't know behind the scene
VIGEZO:
1. Anatupatia documents halisi za kadhia anayoichambua
2. Ameonesha upeo mpana wa kuchambua hoja
3. Amepigania hoja yake mfululizo muda mrefu bila kukata tamaa
4. Amekuwa akifanya extensive monitoring ya taarifa juu ya maendeleo ya hoja yake, na kutupatia updates on time
5. Hajajihusisha na matusi na kuchafua hali ya hewa hapa janvini
6. Hajawahi kupata bun
7. Vyombo vingine vya habari vimefaidi kutokana na uchambuzi wake na documents alizoleta janvini
jaribuni kuongeza au kurekebisha hizi
Mimi ningempa hii tuzo Invisible au Max Shimba. Kutupatia hii jamii forum mahali ambapo tunaweza kujadili na kupata taarifa za kuhusu huo Ufisadi. Huyo mwanakijiji amepata umaarufu au documents zake huwa zinatufikia kupitia hii jamii forum.
So wa kwanza kabisa kumtambua na kumpatia tuzo hii nafikiri awe Max Shimba. He is just extra ordinary, committed, patriotic, dedicated, ambitious and a truly Tanzanian.