Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,287
- 2,437
Hatmaye ndg jk tuzo ya mo ibra imemkosa wakiwemo na marais wengne wa africa pia~source bbc swahili
Slaa atafute kwanza cheti cha ndoa kabla ya kupata Tuzo.
JK hakuwekwa madarakani na watanzania, bali na tume ya uchaguzi wakishirikiana na usalama wa taifa.Iweje matusi kwa watz wakati wao ndio waliomuweka JK madarakani?
Bora Mohamed ibrahim afute hiyo zawadi kwa sasa. Viongozi wenyewe wa Africa sasa hawaitaki ICC. Mpaka hapo hawana sofa tena ya ku contest kwenye hiyo tuzo. Kenyatta kaua watu 2007 Leo jk na wenzie wanasema asubiri hadi amalze urais. HAKUNA HIYO.Tuzo ya utawala bora Afrika kwa mwaka 2013 imekosa mshindi. Tuzo hii hupewa kiongozi aliyefanya vizuri katika nyanja ya afya,elimu,usalama na maendeleo ya kiuchumi. Hii ninakua mara ya nne kutopatikana mshindi pia mwaka 2009,2010,2012 alikosekana mshindi.
Tuzo hiyo ina thamani ya $5 (malipo ya awali) na $200,000 kwa kila mwaka kwa maisha yote ya mshindi na inadhaminiwa na Bw Mo Ibrahim (Tycoon) na mzaliwa wa Sudan
Source: DW - Kiswahili
==============
Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
Isije kama changa la macho hapa. Yawezekana jamaa hana hizo hela, anazuga kwa kusema hakuna mshindi.
Bora Mohamed ibrahim afute hiyo zawadi kwa sasa. Viongozi wenyewe wa Africa sasa hawaitaki ICC. Mpaka hapo hawana sofa tena ya ku contest kwenye hiyo tuzo. Kenyatta kaua watu 2007 Leo jk na wenzie wanasema asubiri hadi amalze urais. HAKUNA HIYO.
Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
Hujachelewa kaka kafunge nae ndoa, mtapendezaje! Hapo itakuwa rahisi kwake kupata cheti cha ndoa
Nimesikia JK atapewa tuzo na mashirika ya ndege,je ni kweli mkuu....
Tuzo hii ingejivunjia heshima kama ingemtunukia na ingekua ni matusi na dharau kwa watanzania.Ingekua Tuzo ya Aibu!
Afterall,Ni kwa wastaafu
JK ameshajikusanyia airmile kibao hana haya na hiyo tuzo. Anasubilia zawadi kutoka kwa mashirika ya ndege kama Rais aliyetumia huduma yao kuliko marais wote kwa kipindi alichokuwa madarakani.
Ni kiashiria kibaya na pigo kubwa kwa Uongozi Afrika kwani Maraisi wake wastaafu wameikosa tena tuzo nono ya Mo Ibrahimu kwa mwaka 2013. Imetangzwa rasmi!
Tuzo hiyo ya kiasicha Tsh bilioni 8 kwa kipindi cha miaka 10 imewahi kutolewa kwa Maraisi wafuatao; Pedro Verona Pires (Cape Verde - 2011), Festus Mogae (Botswana- 2008) na Joaquim Chissano (Msumbijii - 2007).
My fingers remained crossed for my Presida. Probablly the New Katiba, M23, Kilimo Kwanza and The Big Results now! will change the picture.
No winner for 2013 Mo Ibrahim prizeThe Mo Ibrahim Foundation has announced there will be no winner for the African leadership prize this year.
Nasikia FaizaFoxy ana andaa yake na lazima Marais wa Zanzibar wote wapate na wa Tanzania mmoja, ila sijui ni nani.
Kaka Lipumba pia atapatiamo-mo.
Hatmaye ndg jk tuzo ya mo ibra imemkosa wakiwemo na marais wengne wa africa pia~source bbc swahili