Tuziseme addiction (uraibu) zetu na tusaidiane

Tuziseme addiction (uraibu) zetu na tusaidiane

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
571
Reaction score
1,829
Siku haiwezi pita bila kunywa pepsi au coca, na nimefabya hivi kwa muda mrefu sana hadi naanza kuhofia afya yangu mbeleni.

Pia mimi ni mraibu mkuu wa sex hadi huwa nahisi kuumwa nisipoipata in 2 to 3 days.

Sisemi haya kujisifia bali kusema mzigo niliona nao.

Funguka
 
Dah anal sex tena masta !

Fikiria ni ndugu yako ama ni binti yako anafanyiwa hivyo !

Tubadilishe fikra, kule hakuna lolote zaidi sana michubuko na magonjwa tu, hapajaumbwa kwa kazi hiyo !
 
Vijana kwa sasa wanakufa kwa speed hivyo tubular haswa na muombe Mungu rehemA kabla hujazima

Hakuna haja ya kuzisema sote ni wakosaji.kusema haisaidii kitu dhambi ndo zile zile
Uasherati
Kiburi na majivuno
N.k


Dawa NI moja Tu Acha kuipenda dunia kuliko Mungu wako akupaye uzima ilibsiku ya hukumu uwe na la kujitetea
 
Dah anal sex tena masta !

Fikiria ni ndugu yako ama ni binti yako anafanyiwa hivyo !

Tubadilishe fikra, kule hakuna lolote zaidi sana michubuko na magonjwa tu, hapajaumbwa kwa kazi hiyo !
Wapi amesema anal sex?
 
Mwafrika kulia lia ana uraibu sijui addiction ya kitu huwa simuelewi.

Kuanza kutumia ulianza mwenyewe,madhara unayajua maana umeshayaona kwa walioendekeza hizo tabia sasa wewe unataka ufanywe nini au ushauriwe nini ili uache?kama ulivyoshauriana na nafsi yako kuvianza fanya hivyo hivyo kuviacha hakuna aliye nje yako atakunasua lah yatakunasua matokeo itakayokutana nayo.
 
Dah anal sex tena masta !

Fikiria ni ndugu yako ama ni binti yako anafanyiwa hivyo !

Tubadilishe fikra, kule hakuna lolote zaidi sana michubuko na magonjwa tu, hapajaumbwa kwa kazi hiyo !
Anal imetokea wapi tena mkuu kwenye mada
 
45782cc6-c35e-437a-907f-8e63f476c443.jpeg
 
Siku haiwezi pita bila kunywa pepsi au coca, na nimefabya hivi kwa muda mrefu sana hadi naanza kuhofia afya yangu mbeleni.

Pia mimi ni mraibu mkuu wa sex hadi huwa nahisi kuumwa nisipoipata in 2 to 3 days.

Sisemi haya kujisifia bali kusema mzigo niliona nao.

Funguka
Wewe ni jinsia gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom