Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,192
- 99,924
Naanzia hapa na kila ukiweka update tutaipandisha hapa kwa faida ya wengi na kwa faida ya RAIS wetu mpendwa
1. Mwenyekiti amezungukwa na wana mtandao ambao wana maslahi binafsi
2. Mwenyekiti amuachilie Huru Lissu ili awezxe kuungana na familia yake
3. Kuna mastermind kwenye Kifo cha Magu
4. Kuna Mtu aliwahi kumfuata Polepole akiwa Ikulu Dodoma na kumjulisha mpango wa Magufuli kuuwawa na watu (aliishia hapa)
5. Mwenyekiti wa CCM asikubali kwenda kuchukua form, atakua amewadharau wananchi wake
6. UVCCM ni kama kobe, wana mtandao wanwatumia hao kufanya mambo yao
7. Ndugai hakujiuzulu kwa kupenda ila kuna Mtu "anajejifanya" ana nguvu ndio aliendesha gari from Dar to Dodoma kumshinikiza ajiuzulu
8. Kuna makundi ndani ya CCM ambayo tayari wameshaanza kusambaza materials za kampeni, na wana pesa chafu
kuna mengine.....ngoja niachie wengine
1. Mwenyekiti amezungukwa na wana mtandao ambao wana maslahi binafsi
2. Mwenyekiti amuachilie Huru Lissu ili awezxe kuungana na familia yake
3. Kuna mastermind kwenye Kifo cha Magu
4. Kuna Mtu aliwahi kumfuata Polepole akiwa Ikulu Dodoma na kumjulisha mpango wa Magufuli kuuwawa na watu (aliishia hapa)
5. Mwenyekiti wa CCM asikubali kwenda kuchukua form, atakua amewadharau wananchi wake
6. UVCCM ni kama kobe, wana mtandao wanwatumia hao kufanya mambo yao
7. Ndugai hakujiuzulu kwa kupenda ila kuna Mtu "anajejifanya" ana nguvu ndio aliendesha gari from Dar to Dodoma kumshinikiza ajiuzulu
8. Kuna makundi ndani ya CCM ambayo tayari wameshaanza kusambaza materials za kampeni, na wana pesa chafu
kuna mengine.....ngoja niachie wengine