Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
37,360
Reaction score
91,912
Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
 
Mahusiano yana heka heka nyingi,, unakuta unampenda mtu kumbe ye anapenda hela zake 🤣

Ama mtu anakupenda kwa hisia ila anashindwa kukupenda na matendo yake.

Mara umependwa na mtu ambaye humfeel

Heee heka heka ni nyingi sana.
 
Back
Top Bottom