NUCLEAR BOMB
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 342
- 323
- Thread starter
- #21
Mkuu minyoo iko kwa wingi na husababishwa na baadhi ya vyakula tunavyokula.Siyo kunywa dawa, utakunywaje dawa bila kupima? Sema hivi kila baada ya miezi mitatu watu wapime waangalie km kuna hilo tatizo!!!!!
Pia hali zetu za usafi bado duni hivyo kujikinga nayo kwa kunywa dawa ni muhimu si lazima kupima bhana. Mbona shuleni watoto hugaiwa tu bila kupima.