Kwisense
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 475
- 1,144
Jina lake mkuu, maana ni wengiHivi yule Dr wa THEOLOJIA naye alipandikizwa?!
Kazi kweli kweli..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina lake mkuu, maana ni wengiHivi yule Dr wa THEOLOJIA naye alipandikizwa?!
Kazi kweli kweli..!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Dr wa MihogoD
Dr. Wa Theolojia ni Wilbroad Slaa
Wewe acha kupiga Rambo za kilumumba ! Unawachafua watu kwa faida ya nani ?
kwa taarifa yako Lisu hafanyi mambo kwa siri kama unavyofikiria yeye mambo yake yote anayafanya adharani kwa kuwa hayana ubaya kwa Taifa nyinyi ndio mnatabia ya kufanya mambo kwa siri kwa sababu ni kinyume na wananchiTundu Lissu amekuwa na nia ya dhat ya kupambana na Serikali ya CCM na madudu yake. Lakini hajafaham kuwa ndani ya Chadema kuna watu ambao ni viongoz wamewekwa kimkakati kwa ajil ya kutoa siri za chama kuwapa CCM.
Tundu Lissu amekuwa akimwamini kila mtu. Na hili ni tatizo kwa watu wa aina ya Lissu. Hudhan kila anayekula na kucheka naye ni mwema.
Akikaa afikirie ajiulize kwa nini kila anachofanya serikali inafaham one step ahead? Kila anapotaka kwenda kwa nini serikal inakuwa na informations?
Kuna watu ambao wamekuwa wakipandikizwa vyama vya upinzani na ccm. Wakifadhiliwa na kuandaliwa kwa umaridadi ili waonekane ni wapinzani lakini lengo kubwa ni kuharibu chama. Mifano ipo ya akina shonza na wenzie.si hao tu wapo pia watu wazima ambao wameingizwa cdm kwa malengo maalum.
Kama ambavyo akina Lipumba waliingizwa CUF na kipindi hicho tunawaambia watu kuwa Lipumba anatumika ikiwa na yeye mwenyewe kukiri kumsaidia kikwete watu hawakuelewa.
Ndani ya CHADEMA kuna viongoz waandamizi ambao wapo wakifanya kazi kwa maslah ya CCM. na ni watu ambao hata tukiweka majina hamtaamini.ila ukweli utakuja fahamika.
Kuna watu ambao lissu anawaamini sana. Lakini ni ccm walio chadema kwa malengo maalum. Namshauri atokapo awe makini sana.
Mfano tu yule mwarabu wa nzega ni chadema damu japo fisiem hawajuiWatu kama hao hawakosekani pande zote mbili iwe ndani ya chama tawala chenyewe,serekalini na kwenye vyama pinzani,unafikiri zile nyundo ambazo wapinzani huwa wanazitumia kuiogonga serekali za utosini huwa wanazipataje?.
kwa taarifa yako Lisu hafanyi mambo kwa siri kama unavyofikiria yeye mambo yake yote anayafanya adharani kwa kuwa hayana ubaya kwa Taifa nyinyi ndio mnatabia ya kufanya mambo kwa siri kwa sababu ni kinyume na wananchi
Slaa hakiwa Dkt wa Theology bali wa Canon LawD
Dr. Wa Theolojia ni Wilbroad Slaa
Alafu wanatabia mbaya ya kumshobokea mtu aliyehamia kwao toka ccm.....hata sasa muda c mrefu utasikia Nyalandu kawa kamanda sijui wa ujinga gani huko Singida na pia mjumbe wa kamati kuu!
Hawajifunzi kabisa, Masha alipewa nafasi kugombea ubunge wa EALA wakati kuna wanachadema kindakindaki walistahili zaidi kuliko huyo wakuja!