Tuwe makini na wanachama wanaohamia CHADEMA kutoka CCM

Tuwe makini na wanachama wanaohamia CHADEMA kutoka CCM

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,648
Reaction score
164,807
Nina furaha sana kuona wana-CCM wengi wanaamua kuhamia CHADEMA baada ya kutendwa huko CCM na kuamua kufanya uamuzi wa busara wa kukihama chama hicho.

Hata hivyo,tuwe makini tusijepokea wanachama chotara mithili ya Shibuda ambao naamini watakuwa ni wachache miongoni mwa wengi tutakaowapokea.

Nisingependa kuona tunapata wanachama na hasa wabunge ambao watakaokuja kutusaliti Bungeni kwa kuwa na misimamo yao binafsi tofauti na maamuzi ya chama kwa mambo ya kitaifa kama alivyokuwa John Shibuda katika Bunge lililopita ambae alifikia hatua ya hata kukashifu viongozi wa chama hadharani akiwa ndani ya chama.

Mwanachama chotara ni yupi?
Mwanachama chotara ni yule ambae damu yake hajaibadilishwa na ambayo bado ina virusi vya CCM.

Yaani huyu ana damu ya CCM kwa asilimia fulani na kwa asilimia ndogo iliyobaki ana damu ya CHADEMA.

Ni vizuri tuhakikishe tunasimamia utekelezaji, kwa asilimia mia moja, wa kuwapa kiapo cha kisheria wanachama hawa wapya kabla ya kuwapokea ili yoyote mwenye nia mbaya ya kuja kuhujuma chama kwa kujitoa dakika za mwisho,basi ajue kabisa kuwa atashitakiwa mahakamani kwa kufanya maamuzi ya aina hiyo.
 
Huwezi ku control fikra na mitazamo
labda CHADEMA wapanue wigo wa kutofautiana pia
 
Kusindwa kukubali kushindwa kwa viongozi wa kisiasa na kuhamia chama kingine ni hatari sana kwenye demokrasia. Tanzania kama nchi ya changa sana kiuchumi na kidemokrasia ila kwa muda mrefu tumekuwa tukiwafumbia macho watu wenye ushawishi mkubwa wenye uchu mkubwa wa madaraka na kupelekea kuhama hama vyama ili tu wapate mdaraka baada ya kulemewa na ushindani ndani ya vyama vyao.

toka nazaliwa nawasikia ni wanasiasa mfano, Kingunge,Msekwa na wengineo lakini kwakuwa ni watu wenye uchu kubwa wamadaraka mpaka leo nazeeka nawaaacha kwenye siasa na kustafuu.

Africa tumekuwa na hulka ya kung'ang'ania madaraka ni muda sasa watanzania tubadilike tujiwekee ukomo katika kila nafasi tuweke miaka ya kustaafu siasa iwe miaka 65, katika vyama vyote vya siasa ili siasa zetu zisiwe za mawazo mgando kama ilivyosasa

Asanteni sana kwa kunisoma
 
unapoteza muda tu wewe kama huwezi kuelewa hata kinachoendelea. wanaohama ni wasaka tonge ambao wamekosa huko walikotoka; mifano ipo mingi-
lowassa baada ya kukatwa anahamia chadema
selelii baada ya kukosa uchaguzi uliopita na huu haoni dalili zozote amehamia huko
lembeli baada ya kuishi na presha kwa muda mrefu akiogopa kukatwa amekimbilia huko
ester bulaya hivyo hivyo.
Nitajie japo mtu mmoja tu ambaye alikuwa na uhakika wa kula huko alikotoka amehama kwenda kwengine kwa hicho wanachojinasibu nacho kupigania masilahi ya wa Tanzania?
nitajie japo mmoja tu. nasubiri.
MIMI NALIA NA WAANDISHI WA HABARI HAPA BONGO AMBAO KIUKWELI HAWANA SIFA YA KUWA WAANDISHI ILA TU ............

Nina furaha sana kuona wana-CCM wengi wanaamua kuhamia CHADEMA baada ya kutendwa huko CCM na kuamua kufanya uamuzi wa busara wa kukihama chama hicho.

Hata hivyo,tuwe makini tusijepokea wanachama chotara mithili ya Shibuda ambao naamini watakuwa ni wachache miongoni mwa wengi tutakaowapokea.

Nisingependa kuona tunapata wanachama na hasa wabunge ambao watakaokuja kutusaliti Bungeni kwa kuwa na misimamo yao binafsi tofauti na maamuzi ya chama kwa mambo ya kitaifa kama alivyokuwa John Shibuda katika Bunge lililopita ambae alifikia hatua ya hata kukashifu viongozi wa chama hadharani akiwa ndani ya chama.

Mwanachama chotara ni yupi?
Mwanachama chotara ni yule ambae damu yake hajaibadilishwa na ambayo bado ina virusi vya CCM.

Yaani huyu ana damu ya CCM kwa asilimia fulani na kwa asilimia ndogo iliyobaki ana damu ya CHADEMA.

Ni vizuri tuhakikishe tunasimamia utekelezaji, kwa asilimia mia moja, wa kuwapa kiapo cha kisheria wanachama hawa wapya kabla ya kuwapokea ili yoyote mwenye nia mbaya ya kuja kuhujuma chama kwa kujitoa dakika za mwisho,basi ajue kabisa kuwa atashitakiwa mahakamani kwa kufanya maamuzi ya aina hiyo.
 
Nilidhani ndio kukomaa na matumizi sahihi ya demokrasia
 
Kusindwa kukubali kushindwa kwa viongozi wa kisiasa na kuhamia chama kingine ni hatari sana kwenye demokrasia. Tanzania kama nchi ya changa sana kiuchumi na kidemokrasia ila kwa muda mrefu tumekuwa tukiwafumbia macho watu wenye ushawishi mkubwa wenye uchu mkubwa wa madaraka na kupelekea kuhama hama vyama ili tu wapate mdaraka baada ya kulemewa na ushindani ndani ya vyama vyao.

toka nazaliwa nawasikia ni wanasiasa mfano, Kingunge,Msekwa na wengineo lakini kwakuwa ni watu wenye uchu kubwa wamadaraka mpaka leo nazeeka nawaaacha kwenye siasa na kustafuu.

Africa tumekuwa na hulka ya kung'ang'ania madaraka ni muda sasa watanzania tubadilike tujiwekee ukomo katika kila nafasi tuweke miaka ya kustaafu siasa iwe miaka 65, katika vyama vyote vya siasa ili siasa zetu zisiwe za mawazo mgando kama ilivyosasa

Asanteni sana kwa kunisoma

Katiba ya nchi inaruhusu, katiba za vyama vya siasa zinaruhusu, hiyo ndio demokrasia; sasa wewe shida yako ni nini? Kwani kuna tofauti na mchezaji mpira anapohama club?
 
Mimi mbona nimehamia CCM na sitaki madaraka yoyote?
 
Katiba ya nchi inaruhusu, katiba za vyama vya siasa zinaruhusu, hiyo ndio demokrasia; sasa wewe shida yako ni nini? Kwani kuna tofauti na mchezaji mpira anapohama club?

mbona unungunika sana demokrasia ni pamoja na mabadiliko kwahiyo nakusangaa unavyokua muoga, huu ni muda wa mapambano ya kweli katika siasa za tanzania kwa kupatikana upinzani wa kweli ndani ya chama tawala
 
Tundu Lissu amekuwa na nia ya dhat ya kupambana na Serikali ya CCM na madudu yake. Lakini hajafaham kuwa ndani ya Chadema kuna watu ambao ni viongoz wamewekwa kimkakati kwa ajil ya kutoa siri za chama kuwapa CCM.

Tundu Lissu amekuwa akimwamini kila mtu. Na hili ni tatizo kwa watu wa aina ya Lissu. Hudhan kila anayekula na kucheka naye ni mwema.

Akikaa afikirie ajiulize kwa nini kila anachofanya serikali inafaham one step ahead? Kila anapotaka kwenda kwa nini serikal inakuwa na informations?

Kuna watu ambao wamekuwa wakipandikizwa vyama vya upinzani na ccm. Wakifadhiliwa na kuandaliwa kwa umaridadi ili waonekane ni wapinzani lakini lengo kubwa ni kuharibu chama. Mifano ipo ya akina shonza na wenzie.si hao tu wapo pia watu wazima ambao wameingizwa cdm kwa malengo maalum.

Kama ambavyo akina Lipumba waliingizwa CUF na kipindi hicho tunawaambia watu kuwa Lipumba anatumika ikiwa na yeye mwenyewe kukiri kumsaidia kikwete watu hawakuelewa.

Ndani ya CHADEMA kuna viongoz waandamizi ambao wapo wakifanya kazi kwa maslah ya CCM. na ni watu ambao hata tukiweka majina hamtaamini.ila ukweli utakuja fahamika.

Kuna watu ambao lissu anawaamini sana. Lakini ni ccm walio chadema kwa malengo maalum. Namshauri atokapo awe makini sana.

Nmetoa mifano michache ya watu ambao ni CCM ambao walipewa kadi za CDM wakaingia CDM wakaaminiwa wakagombea na wengine kupewa nafasi kubwa CHADEMA wakawa wakipelekea habari za ndani za chama CCM. wengine walipomaliza kazi waliondoka kwa nia ya kubomoa chama na wakarud CCM wakapewa vyeo kwa kazi nzur waliyofanya.

Kuna ambao walinogewa na siasa za chadema wakawa wana chadema kweli kweli. Hawa kuna adhabu mbalimbali walipata kwa kukisalit chama. Hili nalo nawaachia assignment. Lissu alipaswa kukaa kutafakari kuwa si wote wapo naye. Inafahamika wakati wa awamu iliyopita kuna viongoz walikuwa wanachukua mgao wao serikalini. Wapinzani but wapo kwenye payroll ya serikali.

Wapinzani kuna haja ya kujitathmini. Naanindika mimi mtu nisiyejulikana.
 
Tundu Lissu amekuwa na nia ya dhat ya kupambana na Serikali ya CCM na madudu yake. Lakini hajafaham kuwa ndani ya Chadema kuna watu ambao ni viongoz wamewekwa kimkakati kwa ajil ya kutoa siri za chama kuwapa CCM.

Tundu Lissu amekuwa akimwamini kila mtu. Na hili ni tatizo kwa watu wa aina ya Lissu. Hudhan kila anayekula na kucheka naye ni mwema.

Akikaa afikirie ajiulize kwa nini kila anachofanya serikali inafaham one step ahead? Kila anapotaka kwenda kwa nini serikal inakuwa na informations?

Kuna watu ambao wamekuwa wakipandikizwa vyama vya upinzani na ccm. Wakifadhiliwa na kuandaliwa kwa umaridadi ili waonekane ni wapinzani lakini lengo kubwa ni kuharibu chama. Mifano ipo ya akina shonza na wenzie.si hao tu wapo pia watu wazima ambao wameingizwa cdm kwa malengo maalum.

Kama ambavyo akina Lipumba waliingizwa CUF na kipindi hicho tunawaambia watu kuwa Lipumba anatumika ikiwa na yeye mwenyewe kukiri kumsaidia kikwete watu hawakuelewa.

Ndani ya CHADEMA kuna viongoz waandamizi ambao wapo wakifanya kazi kwa maslah ya CCM. na ni watu ambao hata tukiweka majina hamtaamini.ila ukweli utakuja fahamika.

Kuna watu ambao lissu anawaamini sana. Lakini ni ccm walio chadema kwa malengo maalum. Namshauri atokapo awe makini sana.
Wewe acha kumtesa kisaikolojia..kama unauhakika NA hilo wataje basi hao mapandikizi wa ccm kwa cdm. Lakn pia huenda nao cdm wanamapandkz ccn ili balance ya kisiasa iwepo..ko nakushauri uwataje???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu amekuwa na nia ya dhat ya kupambana na Serikali ya CCM na madudu yake. Lakini hajafaham kuwa ndani ya Chadema kuna watu ambao ni viongoz wamewekwa kimkakati kwa ajil ya kutoa siri za chama kuwapa CCM.

Tundu Lissu amekuwa akimwamini kila mtu. Na hili ni tatizo kwa watu wa aina ya Lissu. Hudhan kila anayekula na kucheka naye ni mwema.

Akikaa afikirie ajiulize kwa nini kila anachofanya serikali inafaham one step ahead? Kila anapotaka kwenda kwa nini serikal inakuwa na informations?

Kuna watu ambao wamekuwa wakipandikizwa vyama vya upinzani na ccm. Wakifadhiliwa na kuandaliwa kwa umaridadi ili waonekane ni wapinzani lakini lengo kubwa ni kuharibu chama. Mifano ipo ya akina shonza na wenzie.si hao tu wapo pia watu wazima ambao wameingizwa cdm kwa malengo maalum.

Kama ambavyo akina Lipumba waliingizwa CUF na kipindi hicho tunawaambia watu kuwa Lipumba anatumika ikiwa na yeye mwenyewe kukiri kumsaidia kikwete watu hawakuelewa.

Ndani ya CHADEMA kuna viongoz waandamizi ambao wapo wakifanya kazi kwa maslah ya CCM. na ni watu ambao hata tukiweka majina hamtaamini.ila ukweli utakuja fahamika.

Kuna watu ambao lissu anawaamini sana. Lakini ni ccm walio chadema kwa malengo maalum. Namshauri atokapo awe makini sana.
Hili naliunga mkono kwa asilimia 100, kuna jamaa mmoja ni mshambuliaji mzuri sana wa siasa za sisiemu tokea cdm, ila vijana walio karibu nae wanasema yupo kwa kazi maalum japo yeye mwenyewe hulipinga kwa kiasi kikubwa sana. Inatakiwa vyama vya upinzani viwe makini sana maana hawa watu hupandikizwa tangia wakiwa na damu changa hufika mbali zaidi ya kupata uongozi ndani ya chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu amekuwa na nia ya dhat ya kupambana na Serikali ya CCM na madudu yake. Lakini hajafaham kuwa ndani ya Chadema kuna watu ambao ni viongoz wamewekwa kimkakati kwa ajil ya kutoa siri za chama kuwapa CCM.

Tundu Lissu amekuwa akimwamini kila mtu. Na hili ni tatizo kwa watu wa aina ya Lissu. Hudhan kila anayekula na kucheka naye ni mwema.

Akikaa afikirie ajiulize kwa nini kila anachofanya serikali inafaham one step ahead? Kila anapotaka kwenda kwa nini serikal inakuwa na informations?

Kuna watu ambao wamekuwa wakipandikizwa vyama vya upinzani na ccm. Wakifadhiliwa na kuandaliwa kwa umaridadi ili waonekane ni wapinzani lakini lengo kubwa ni kuharibu chama. Mifano ipo ya akina shonza na wenzie.si hao tu wapo pia watu wazima ambao wameingizwa cdm kwa malengo maalum.

Kama ambavyo akina Lipumba waliingizwa CUF na kipindi hicho tunawaambia watu kuwa Lipumba anatumika ikiwa na yeye mwenyewe kukiri kumsaidia kikwete watu hawakuelewa.

Ndani ya CHADEMA kuna viongoz waandamizi ambao wapo wakifanya kazi kwa maslah ya CCM. na ni watu ambao hata tukiweka majina hamtaamini.ila ukweli utakuja fahamika.

Kuna watu ambao lissu anawaamini sana. Lakini ni ccm walio chadema kwa malengo maalum. Namshauri atokapo awe makini sana.
The opposite is true, hata kule pia wapo mapandikizi
 
Tundu Lissu amekuwa na nia ya dhat ya kupambana na Serikali ya CCM na madudu yake. Lakini hajafaham kuwa ndani ya Chadema kuna watu ambao ni viongoz wamewekwa kimkakati kwa ajil ya kutoa siri za chama kuwapa CCM.

Kuna watu ambao wamekuwa wakipandikizwa vyama vya upinzani na ccm. Wakifadhiliwa na kuandaliwa kwa umaridadi ili waonekane ni wapinzani lakini lengo kubwa ni kuharibu chama. Mifano ipo ya akina shonza na wenzie.si hao tu wapo pia watu wazima ambao wameingizwa cdm kwa malengo maalum.

Ndani ya CHADEMA kuna viongoz waandamizi ambao wapo wakifanya kazi kwa maslah ya CCM. na ni watu ambao hata tukiweka majina hamtaamini.ila ukweli utakuja fahamika.
Mkuu Gu Dume, naunga mkono hoja, na hili niliishawahi kulisema siku nyingi humu
CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The ...
Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea ...


Ila kwa huyo member nilio bold, nasema ni Big No!, sii kweli ni pandikizi la CCM, huyo ni born & breed Chadema, ni kamanda tangu usichana wake, hivyo Chadema iko hadi ndani ya damu yake!, na huko aliko yuko mwili tuu, lakini moyo, roho na akili na mapenzi yake yote ni Chadema!, ndio maana kutwa kucha michango yake yote humu jf ni kuhusu Chadema tuu!, na kule alipo ni bubu kabisa, hana chochote cha kuchangia kuhusu CCM!, sikumbuki ni lini alizungumzia CCM, ila pia kiukweli, namzimikia sana!.

Kule alilazimika tuu kwenda, baada ya Chadema kumfanyika hivi
Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea ...

P.
 
Back
Top Bottom