Aza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2010
- 1,700
- 236
mzungu mmoja aliambiwa ukifika tanzania ukiuliza swali lazima ujibiwe na swali..alipofika airport akauliza nasikia tanzania mkiuliza maswali mnajibu kwa maswali""akajibiwa ""nani kakwambia""
amefanya kosa kuuliza swali hapo juu hatopata jibu jf
ndugu labda kwa kukusaidia tu usiangalie majibu yanayokukatisha tamaa ...biblia inasema """kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu akamtoa mwanae pekee ili kila amwaminie awe na uzima wa milele""kama unaamini hivyo basi ujue msamaha uko kwa ajili yako...........
Labda muhimu naomba nikuhabarishe kuna dhambi nyingine unaweza kumtendea mtu kwa macho kumbe unamtendea mungu...especially wanawake ..wle huwa wanasema na mungu straight maombi yaop yanajibiwa haraka sana..ndio maana ukiwa na shida nyumbani muite mkeo ukiomba mwenyewe shuguli unayo...so naomba ni kuwatch out
zipodhambi ambazo ausamehewi mpaka umwombe radhi mungu na utaje upuuzi wote uliokuwa ukifanya na hapo mungu anakusamehe..na kama possible sali ukiwa na huyo mkeo.....unaweza ukaona umeomba msamaha kwa mkeo amesema nimekusamehe lakini mungu bado ajakusamehe mpaka uombe toba ya kweli kwa mungu akupe rehema zake...usijali utosamehewa utasamehewa ila ili usimame imara tubu na kwa mungu wako ukiwa na mkeo!!!
Nawatakia nyumba bora yenye mafanikio bila wa
you blessed my sunday,thank you,,,wote tujue hili katika maisha yetu,,,aiseee