Tuwaulize Viongozi hawa vimbelembele (wanaa) mashuleni "wapo wapi saa hizi?"

Tuwaulize Viongozi hawa vimbelembele (wanaa) mashuleni "wapo wapi saa hizi?"

Aaahhhh mkuu tuache sisi na pension yetu
 
Kuna jamaa alikuwa na jina la utani Major, Tambaza Sec, jamaa alikuwa mkuria fulani hivi, yeye ukiranja wake ni Jikoni na mesini, sahani yake ilikuwa mfuniko wa ndoo ya plastic, alikuwa mwembaba lakini anakula Kisado cha wali Nyama (Top layer), ninachojua alipata Zero form four sijui alienda wapi hope yupo jeshini
 
Kuna jamaa alikuwa na jina la utani Major, Tambaza Sec, jamaa alikuwa mkuria fulani hivi, yeye ukiranja wake ni Jikoni na mesini, sahani yake ilikuwa mfuniko wa ndoo ya plastic, alikuwa mwembaba lakini anakula Kisado cha wali Nyama (Top layer), ninachojua alipata Zero form four sijui alienda wapi hope yupo jeshini
Mkuu simulizi ya huyo jamaa imenitengenezea Siku.nimecheka mnooooo
 
Kuna jamaa alikuwa na jina la utani Major, Tambaza Sec, jamaa alikuwa mkuria fulani hivi, yeye ukiranja wake ni Jikoni na mesini, sahani yake ilikuwa mfuniko wa ndoo ya plastic, alikuwa mwembaba lakini anakula Kisado cha wali Nyama (Top layer), ninachojua alipata Zero form four sijui alienda wapi hope yupo jeshini
 
Wakuu habari zenu.

lengo kuu la kuanzisha Uzi huu ni kutaka kutambua walipofikia wenzetu ambao tuliwahi kusomanao katika ngazi tofauti tofauti ( primary/secondary/advanced level) , na walikua miongoni mwa wenzetu wachache ambao waliaminiwa na kupewa mamlaka ya kutuongoza kipindi hicho lakini wakatupeleka ndivo sivyo yaani kinyume na matarajio.

Ikiwa pamoja na kuchongea wenzao kwa walimu au wao binafsi kutoa adhabu zisizokua na kichwa wala miguu ilimradi tu aonekane yeye ni bora kuliko viongozi wenzake katika kuchapa kazi.

Wengi tunao humu sema hatutambuani sababu ya ID makinikia hivyo Ujumbe utafika tu.

Binafsi nianze na
- Juma jafary na Magania ( songea boys)
-Lazaro Mbilinyi (wenda sec)
Mpo wapi sikuizi waungwana?

Mnaishi maisha haya haya tunayoishi au wenzetu mnakula pension za wastaafu wa uongozi mashuleni?

Najua kila shule haikosi watu wa namna hii.Je ni yupi alikua kiongozi kero kwako?

"Tuwaseme ili wajirekebishe huko waendako maana Samaki akunjwe angali mbichi na duniani hakuna uongozi wa kudumu."


Mpo wapi saizi?


Mpo wapi saizi? wewe nawe! saizi ndiyo nini, inaelekea Tambaza ulikuwa unapenda sana kula wali nyama; wewe mwenyewe umeshindwa kukunjika, Mpo wapi saizi ndivyo mwalimu wako wa kiswahili alivyokufundisha.
 
Kuna jamaa mmoja kigoma sec alikua monitor wetu jina lake erick James...ulikua ukimuuzi tu ujue Siku iyo tafuta mapema alternative ya kupata chai maana monitors ndo walikua wagawa chai na mikate ila ukipatananae utakula hata mkate mzima peke yako
 
Bila shaka wapo humu, ngoja wanakuja mkuu.
 
Kwa akili yako ni kwamba kila anayepata div 0 atakuwa jeshini,ebu badili akili yako hiyo jeshini sio mkusanyiko wa div 0
 
Wakuu habari zenu.

Lengo kuu la kuanzisha Uzi huu ni kutaka kutambua walipofikia wenzetu ambao tuliwahi kusomanao katika ngazi tofauti tofauti (primary/secondary/advanced level) , na walikua miongoni mwa wenzetu wachache ambao waliaminiwa na kupewa mamlaka ya kutuongoza kipindi hicho lakini wakatupeleka ndivo sivyo yaani kinyume na matarajio.

Ikiwa pamoja na kuchongea wenzao kwa walimu au wao binafsi kutoa adhabu zisizokua na kichwa wala miguu ilimradi tu aonekane yeye ni bora kuliko viongozi wenzake katika kuchapa kazi.

Wengi tunao humu sema hatutambuani sababu ya ID makinikia hivyo Ujumbe utafika tu.

Binafsi nianze na

  • Juma jafary na Magania (Songea boys)
  • Lazaro Mbilinyi (Wenda sec)

Mpo wapi sikuizi waungwana?

Mnaishi maisha haya haya tunayoishi au wenzetu mnakula pension za wastaafu wa uongozi mashuleni?

Najua kila shule haikosi watu wa namna hii.Je ni yupi alikua kiongozi kero kwako?

"Tuwaseme ili wajirekebishe huko waendako maana Samaki akunjwe angali mbichi na duniani hakuna uongozi wa kudumu."

Mpo wapi saizi?


Ha ha haaaaa aisee watu wa dizaini iyo kila shule hawakosi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom