Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Tanzania toka uhuru imeongozwa na maraisi wanne na hvyo kuwa na mafirst ladies wanne pia.
Sasa hebu tujadili ni first lady gani angalau alionekana kufaa na kumshauri vema mumewe kuanzia kwa Mama Maria Nyerere, Bi. Siti Mwinyi, Mama Anna Mkapa na Mama Salma Kikwete
Sasa hebu tujadili ni first lady gani angalau alionekana kufaa na kumshauri vema mumewe kuanzia kwa Mama Maria Nyerere, Bi. Siti Mwinyi, Mama Anna Mkapa na Mama Salma Kikwete