mi naona first lady wa chadema awe rose kamili badala ya josephin mahimbo. rosse kamili ametoka na babu slaa mbali kuliko huyu mke wa mahimbo alieingilia mapenzi ya wanandoa
mhh sidhani km walikuwa na influence kiasi hicho...labda mama salma alivoji-integrate nayeye kwenye NEC CCM....wanaume wenyewe wakiafrika utamwambia niniii...afadhali wanaume wa siku hizi kidogo wa-liberali