Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,618
- 33,475
Moja Mbowe is not aggressive may be Chama kinahitaji mtu aggressive nadhani hata makamanda wanajua hili ila wamepima trade offs za kumuachia mbowe aende ni more damaging than good…(dilemma)….
Mbili hakuna mtu wa UKAWA wa kupiga SOGA kwenye media,mnaonaga akina Polepole wakipiga porojo kwenye media mnaweza kuwadharau ila wanaweka chama chao kiendelee kuwa masikioni kwa watu, kukosekana kwa mbadala kunamaanisha vyama vingine vising’ae……
Kushiriki katika projects zinazowahusu wananchi moja kwa moja,kama matibabu,afya nk,najua mtasema hamna vyanzo vingi vya mapato lakini mmeshajaribu kupitisha harambee watu wakachangia maendeleo yao wakakataa???...mmejaribu kutafuta misaada huko nje,kwenye taasis za misaada(NGO’S)…???..mkiwa engage wananchi watawakumbuka kwenye chaguzi , sio sasa hivi tunawaona wakati wa uchaguzi mnakurupuka huko mafichoni mlikokua na candidates ambao wako least popular….(by the way kwa vile CCM haifanyi hili la kuchangisha haina maana na nyie msifanye)….hizi projects zikitangazwa kwenye media tofauti tofauti ,online magazeti etc..mtapata support na at the same time mtakua MNATANGAZA chama chenu…..msikadhanie online peke yake.i still think watu bado wanatumia magazeti ingawa matumizi ya internet yanakua…..
Ningependa pia kuona mna mkakati wa kuact kuhusu hili swala la wanachama wenu kuhamia CCM,msipofanya lolote au kuwa passive jueni mtamaliza viongozi wenu wote kuhama na kufanya wananchi wawe confused even more………….kuwe na mkakati wa kuact as shock absorber in this changing environment…(sijui mfanye nini kuhusu hili,lol)
Reshuffle viongozi wenu,wale wazoefu wakae back seat na wapya wakae siti za mbele…miaka miwili inatosha kwa sura mpya kuzoeleka kwa wananchi na pia ni muda wa kutosha kwa hao viongozi wapya kuwa COACHED na viongozi wa zamani…
Nyingine jazieni tuwasaidie makamanda…
Mbili hakuna mtu wa UKAWA wa kupiga SOGA kwenye media,mnaonaga akina Polepole wakipiga porojo kwenye media mnaweza kuwadharau ila wanaweka chama chao kiendelee kuwa masikioni kwa watu, kukosekana kwa mbadala kunamaanisha vyama vingine vising’ae……
Kushiriki katika projects zinazowahusu wananchi moja kwa moja,kama matibabu,afya nk,najua mtasema hamna vyanzo vingi vya mapato lakini mmeshajaribu kupitisha harambee watu wakachangia maendeleo yao wakakataa???...mmejaribu kutafuta misaada huko nje,kwenye taasis za misaada(NGO’S)…???..mkiwa engage wananchi watawakumbuka kwenye chaguzi , sio sasa hivi tunawaona wakati wa uchaguzi mnakurupuka huko mafichoni mlikokua na candidates ambao wako least popular….(by the way kwa vile CCM haifanyi hili la kuchangisha haina maana na nyie msifanye)….hizi projects zikitangazwa kwenye media tofauti tofauti ,online magazeti etc..mtapata support na at the same time mtakua MNATANGAZA chama chenu…..msikadhanie online peke yake.i still think watu bado wanatumia magazeti ingawa matumizi ya internet yanakua…..
Ningependa pia kuona mna mkakati wa kuact kuhusu hili swala la wanachama wenu kuhamia CCM,msipofanya lolote au kuwa passive jueni mtamaliza viongozi wenu wote kuhama na kufanya wananchi wawe confused even more………….kuwe na mkakati wa kuact as shock absorber in this changing environment…(sijui mfanye nini kuhusu hili,lol)
Reshuffle viongozi wenu,wale wazoefu wakae back seat na wapya wakae siti za mbele…miaka miwili inatosha kwa sura mpya kuzoeleka kwa wananchi na pia ni muda wa kutosha kwa hao viongozi wapya kuwa COACHED na viongozi wa zamani…
Nyingine jazieni tuwasaidie makamanda…