Tuwasaidie dada zetu walio vyuoni

Tuwasaidie dada zetu walio vyuoni

StayReal

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
518
Reaction score
147
Mod Najua huu uzi unatakiwa kuwa kwenye jukwaa la elimu but nimeweka hapa sababu najua watu wengi huwa wanapita huku so please bare with me.

Hii nchi itabadilishwa na sisi wenyewe by taking initiative bila kusubiri wanasiasa kutuamulia. Kila kitu lazima kianzie somwhere however small it maybe. Nimeamua kuchukua hatua which I hope itakuwa chachu kwa watu wengine kuniunga mkono kwa ajili ya nchi yetu. Kuna siku nilisoma coment ya mtu hapa kuwa unahitaji kumhakikishia msichana chuo mlo mmoja tu then unalala naye, I was very sad for that. Nimeamua KUJICOMMIT kutoa huo mlo mmoja kwa msichana atakaye kizi vigezo vyangu kwa miaka miwili ya mwisho ya masomo yake(Wale wanaongia mwaka wa tatu). Nataka nimpe Tsh 3000 kila siku kwa hiyo miaka miwili. Nikifanya hivyo nitakuwa nimesaidia kuokoa mtu mmoja kutokuuza mwili wake kwa sababu ya chakula. Sababu miye niko kwenye mambo ya engineering, huyu binti lazima awe anafanya engineering kiwango cha degree chuo chochote ndani ya Tanzania na ni mtanzania pia.
Vigezo vya kumaintain hii offer

  1. Awe ana wastani usiopungua 65
  2. Kila wiki lazima ajitolee sehemu yeyote sio chini ya masaa mawili, asifanye sehemu moja zaidi ya mara tatu ndani ya mwezi
  3. Kila mwezi lazima asome journal paper tatu topic ambayo nitamchagulia na aandike summary ya hizo paper
  4. Kila wiki lazima anipe report ya sehemu aliyojitolea
  5. Kila mwezi kutakuwa na report ya nini alifanya ndani ya huo mwezi

My selection criteria itakuwa fair sana cha muhimu umekizi vigezo ninavyotaka and you commit yourself to the above.
Kwa wale ambao wangependa kunijoin in this noble venture you can sponsor someone in any area of your choice na ukajiwekea masharti yako pia.

I will always keep part of my bargain and send her the money every month subject to the above conditions. I will make sure I also talk to her weekly just to know how she is progressing with her studies.
If you look at those conditions you will notice they are tailored in producing a well rounded person. Mfano journal paper namfundisha kutumia google scholar, kuandika well researched papers, na volunteering najaribu kumjengea confident ya kuomba kazi na kutengeneza network ambayo itamsaidia akimaliza masomo. Its called changing the education system from the outside

Haya sasa wadau uwanja uko wazi, mnakaribishwa kutoa maoni yenu on how best we can help in this. Tukiamua tunaweza!

NB: I will put my email address where those interested will need to write to me, why they deserve that offer.
 
Mwanangu Stay Real,
Sema una lako. Kama ungetaka kusaidia ungetoa pesa hiyo kwa chuo kichague jinsi ya kuwapambanisha wahusika na kutoa hiyo pesa yako. Inaonekana unataka mwanamke mwenye fani kama yako sema umeamua kutumia uchache huu unaokuwawshawasha kuweka mazingira ya kumnasa huyo mhusika. Nia yako yaweza kuwa nzuri lakini mazingira uliyoweka yanatia shaka. Wafikirie na wakaka wasio na mwili wa kuuza if you seriously mean to help not to help yourself.
 
nadhani ukitaka kufa kwa presha haraka sana kuwa na fiancee mwanachuo. Hawana shida ya mapenzi wao wanatafuta pesa tu!
 
mwanangu stay real,
sema una lako. Kama ungetaka kusaidia ungetoa pesa hiyo kwa chuo kichague jinsi ya kuwapambanisha wahusika na kutoa hiyo pesa yako. Inaonekana unataka mwanamke mwenye fani kama yako sema umeamua kutumia uchache huu unaokuwawshawasha kuweka mazingira ya kumnasa huyo mhusika. Nia yako yaweza kuwa nzuri lakini mazingira uliyoweka yanatia shaka. Wafikirie na wakaka wasio na mwili wa kuuza if you seriously mean to help not to help yourself.

salute
 
Mwanangu Stay Real,
Sema una lako. Kama ungetaka kusaidia ungetoa pesa hiyo kwa chuo kichague jinsi ya kuwapambanisha wahusika na kutoa hiyo pesa yako. Inaonekana unataka mwanamke mwenye fani kama yako sema umeamua kutumia uchache huu unaokuwawshawasha kuweka mazingira ya kumnasa huyo mhusika. Nia yako yaweza kuwa nzuri lakini mazingira uliyoweka yanatia shaka. Wafikirie na wakaka wasio na mwili wa kuuza if you seriously mean to help not to help yourself.

Middlemen ndio sitaki mkuu kabisa, this is real I real need to monitor on my own. Infact am very far away hata sijui kama nitawahi kukutana nae!
 
nadhani ukitaka kufa kwa presha haraka sana kuwa na fiancee mwanachuo. Hawana shida ya mapenzi wao wanatafuta pesa tu!

Am not looking for a fiancee mkuu, am already committed somewhere I just want to help!
 

Mkuu we need to do this, lazima tuanzie somewhere, kwangu mimi naona ladies ndio wanaumia sana vyuoni i decided to help in whatever circumstance I can
 
  1. Awe ana wastani usiopungua 65
  2. Kila wiki lazima ajitolee sehemu yeyote sio chini ya masaa mawili, asifanye sehemu moja zaidi ya mara tatu ndani ya mwezi
  3. Kila mwezi lazima asome journal paper tatu topic ambayo nitamchagulia na aandike summary ya hizo paper
  4. Kila wiki lazima anipe report ya sehemu aliyojitolea
  5. Kila mwezi kutakuwa na report ya nini alifanya ndani ya huo mwezi

We utakuwa unaulimbukeni flani hivi, then ni mjivuni sana! Halafu utoto unakusumbuwa pia! Ila ukikuwa utaacha.

Hivi huyo mwanafunzi wa mwaka 3 na 4 atakae kuwa na muda wakutekeleza hayo masharti yako, na hizo assignments za courses zake azifanye saa ngapi? Project zake atafanya kwa muda gani? Are you ok? Yaani kwa Sh zako 3000 ndio utoe masharti kama vile wewe ndo unaeanza kumfundisha nini maana ya shule na yeye bado hajui maana ya shule! Hee kwa hizo sh 3000 zako ndo umtaftie chanzo cha kumla uroda...Mwehu we!
 
  1. Awe ana wastani usiopungua 65
  2. Kila wiki lazima ajitolee sehemu yeyote sio chini ya masaa mawili, asifanye sehemu moja zaidi ya mara tatu ndani ya mwezi
  3. Kila mwezi lazima asome journal paper tatu topic ambayo nitamchagulia na aandike summary ya hizo paper
  4. Kila wiki lazima anipe report ya sehemu aliyojitolea
  5. Kila mwezi kutakuwa na report ya nini alifanya ndani ya huo mwezi

We utakuwa unaulimbukeni flani hivi, then ni mjivuni sana! Halafu utoto unakusumbuwa pia! Ila ukikuwa utaacha.

Hivi huyo mwanafunzi wa mwaka 3 na 4 atakae kuwa na muda wakutekeleza hayo masharti yako, na hizo assignments za courses zake azifanye saa ngapi? Project zake atafanya kwa muda gani? Are you ok? Yaani kwa Sh zako 3000 ndio utoe masharti kama vile wewe ndo unaeanza kumfundisha nini maana ya shule na yeye bado hajui maana ya shule! Hee kwa hizo sh 3000 zako ndo umtaftie chanzo cha kumla uroda...Mwehu we!

Asante sana, but let just put it you that kuna wengi sana watatimiza haya masharti, and this is one of the biggest problem we have in this country, watu kama nyie ndio mnaosababisha hii nchi haindelei. Endelea na hayo mawazo mgando!
 
Go ahead and reap your shame then.

Yep am ready for that, atleast nitakuwa nimejaribu kusaidia mkuu, there are so many people who have helped me na kunifikisha hapa nilipo, they just had that little faith and I never let them down!
 
Yep am ready for that,
atleast nitakuwa nimejaribu kusaidia mkuu, there are so many people who
have helped me na kunifikisha hapa nilipo, they just had that little
faith and I never let them down!

mods ondoa hii kitu hapa ,bora ungewasaidia omba omba
 
Navyofahamu mimi mahitaji ya wadada wa vyuoni ni zaidi ya mlo! Heri hata ungesema sharti awe mcha Mungu. You can never understand women.
 
Middlemen ndio sitaki mkuu kabisa, this is real I real need to monitor on my own. Infact am very far away hata sijui kama nitawahi kukutana nae!



Sasa si ungesema tu kuwa unataka msichana mwenye fani kama yako ili umchezee na hatimaye kumuoa kama umeridhika naye. Kwa taarifa yako, hiyo offer ya 3000 kwa siku ni ndogo sana kwao kwani wale wanaojiuza wanavuta mpaka 50,000 kwa siku sembuse hako ka 3,000 kako. Wewe kama una nia ya kupiga mademu miti ongea na wasanii wa bongo movie maana wale ndiyo kazi yao.
 
Sasa si ungesema tu kuwa unataka msichana mwenye fani kama yako ili umchezee na hatimaye kumuoa kama umeridhika naye. Kwa taarifa yako, hiyo offer ya 3000 kwa siku ni ndogo sana kwao kwani wale wanaojiuza wanavuta mpaka 50,000 kwa siku sembuse hako ka 3,000 kako. Wewe kama una nia ya kupiga mademu miti ongea na wasanii wa bongo movie maana wale ndiyo kazi yao.

Mkuu kama nilivyosema hapo juu am already committed somewhere hata sijui kama nitawahi onana naye, i just need to help wakuu
 
.., mkuu' StayReal: kwa mtazamo sioni kama kuna msaada hapo, mashart yenyewe kama ya World Bank. Unaleta yale ya ChipsKUKU & Fanta biridi. Hao wanadada poa wanamahitaji ambayo hata wewe huyawezi, wao wanapokea $100 au $50, matumizi yao ni kama wakurugenzi: anataka atembelee gari, simu ya kisasa, na mtoko wa nguvu siku za weekend. Mkuu ninakushauri hizo wapelekee watoto yatimu.
 
You teach someone how to fish not giving him/her fish
Pole ndugu Stayreal kwa response uliyopokea toka kwa watanganyika hapo juu. Most of people thinks its imposible to a man to suport a woman freely!
Pia wapo wanaodhani elfu 3 kila siku ni kidogo kwa anaeipokea hasa kama hana any source of income.
I thnk its posible kama watu watakuwa real in perceiving things cuz kama mwanafunzi anakwenda mtaani kutafuta mwanaume wa kulala nae japo kwa mlo mmoja bs km ako na uhakika wa kupata elfu 3 kwa kujisomea na kureflect hzo articles why asifanye ktk ule mda wa kwenda kusaka hao mabwana?
Wanaoidharau hyo elf 3 may be wametoka ktk family mambo safi sana bt to be honest hyo ni budget ya siku 3 mpaka 4 kwa baadh ya watu humu humu ktk vyuo vyetu! Mtu anaeshindia mihogo au mkate kwa maji mnataka kusema buku 3 per day sio ki2?
Mtoa mada wazo lako, na mchango wako ktk kusaidia ni zuri sana, tena sana, ila i thnk wapokeaji ndio wanakurupuka kuponda au kuona una negative motives behind it! Usiangalie wanasemaje bwana, if u want to do it just do it, huwez jua utaokoa maisha ya wangapi.
 
Back
Top Bottom