The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Hizi nchi zetu kutokana na uchanga wake..
wakati mwingine jambo dogo laweza kuwa kubwa..
Binadamu huwa tunapanga yetu na Mungu nae hupanga yake...
sasa wanaigeria wenyewe walijiona wamepata solution ya migawanyiko
ya kidini na kikabila kwa kuweka mfumo wa kupokezana....
akitoka wa kusini mkristo anakuja wa kaskazini muislamu,
miaka kumi kumi.....
sasa rais muilsam wa kaskazini mgonjwa na makamu wake ni mkristo wa kusini.
akichukua nchi, wa kaskazini wataona wamepunjwa miaka kumi yao....
yaani sijui wata tatua vipi hili tatizo.....but kwa kiasi fulani...
watanzania tunatakiwa kujifunza kitu kutoka Nigeria....hasa position ya
makamu wa rais.....vinginevyo siku moja tutajikuta kwenye hali kama hii.....
mimi nasema tuwaombee sana kwa Mungu wanaigeria vinginevyo.....
wakati mwingine jambo dogo laweza kuwa kubwa..
Binadamu huwa tunapanga yetu na Mungu nae hupanga yake...
sasa wanaigeria wenyewe walijiona wamepata solution ya migawanyiko
ya kidini na kikabila kwa kuweka mfumo wa kupokezana....
akitoka wa kusini mkristo anakuja wa kaskazini muislamu,
miaka kumi kumi.....
sasa rais muilsam wa kaskazini mgonjwa na makamu wake ni mkristo wa kusini.
akichukua nchi, wa kaskazini wataona wamepunjwa miaka kumi yao....
yaani sijui wata tatua vipi hili tatizo.....but kwa kiasi fulani...
watanzania tunatakiwa kujifunza kitu kutoka Nigeria....hasa position ya
makamu wa rais.....vinginevyo siku moja tutajikuta kwenye hali kama hii.....
mimi nasema tuwaombee sana kwa Mungu wanaigeria vinginevyo.....