Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Wanajamvi JF
Tumuombee msaha kafulila ili arudi CHADEMA kuendeleza harakati za kuijenga TZ kwa sababu
Nawasilisha
Tumuombee msaha kafulila ili arudi CHADEMA kuendeleza harakati za kuijenga TZ kwa sababu
- Alikuwa mwanachama wa CDM
- Aliungana na wabunge wa CDM bungeni kususia hoja ya katiba
- Anaonyesha kweli yeye ni mpinzani wa CCM si kibaraka
- CDM ni chama tawala cha upinzani nchini Tz kama CCM wanavyofanya wapokea walio hama na kurejea upya
- etc
Nawasilisha