wewe toka lini ukasapoti mambo ya Chadema? unaona Kafulila ni threat kwa CCM akijiunga Chadema. Mimi nasapoti hilo wazo. Ni vema arejee Chadema.Yaleyale ya Shibuda yatajirudia kwa Kafulila. Siungi hoja. Anapaswa kujutia ujinga alioufanya,
Suala si Kupoteza Ubunge Je , Tuhuma alizotoa ni kweliau ni uOngo???Namsikitikia kafulila, amepoteza ubunge mapema mno na yote ni sababu ya kukosa hekima, swala la kupewa msamaha na Chadema, kafulila hakufukuzwa Chadema, mwenyewe aliondoka tena kwa mbwe mbwe nyingi tu! akakimbilia NCCR - Mageuzi, kafika kule akaendeleza mbwe mbwe, akafikia hatua ya kubishana na uongozi alioukuta, akataka ligi akijua watanifanya nini mimi nimekipa chama heshima mimi ni mbunge,
Ni mambo ya kitoto, na yatazidi kumgharimu katika harakati zake za siasa, arudi Chadema ila Chadema wapo smart zaidi ya hao NCCR - Mageuzi, huko wakimsimamisha akashinda ubunge, akileta dharau watamvua uanachama na ubunge ataukosa sasa kama hatafikiria hilo aende TADEA, NRA, UPDP, CHAUSTA nk hivi vyama havina uwakilishi Bungeni kama wanampenda jimboni kwake aende huko akishinda tu! ataheshimiwa sana na viongozi wa vyama hivi hatafukuzwa ila CHADEMA hakumfai.
Nashukuru kwa kunisahihisha basi Slaa amuombe msamaha Kafulila
Wanajamvi JF
Tumuombee msaha kafulila ili arudi CHADEMA kuendeleza harakati za kuijenga TZ kwa sababu
Wajumbe wengine pia wahamie CDM kwani wamekuwa ni wachapa wazuri ndani ya chama chao wakijiunga na CDM wataku mtaji wa faida kubwa
- Alikuwa mwanachama wa CDM
- Aliungana na wabunge wa CDM bungeni kususia hoja ya katiba
- Anaonyesha kweli yeye ni mpinzani wa CCM si kibaraka
- CDM ni chama tawala cha upinzani nchini Tz kama CCM wanavyofanya wapokea walio hama na kurejea upya
- etc
Nawasilisha
Yeye mwenywe KAFULILA aje aombe msamaha na siyo sisi tumuombee kwa niaba yake maana baadae anaweza akatugeuka akasema sisi ndio tulimfuata na kumuombea msamaha! unajuaje kuwa aliyeanzisha uzi sio kafulila.
Hii nimeipendana wewe unakurupuka tu aliyesema kafulila ni sisimizi ni dr slaa...unakurupuka tu utadhani unaoga nje