mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau
Kwa pamoja Tuwaombee ndugu zetu wa Kenya wanao pitia wakati mgumu kipindi hichi Cha Corona
Wananchi wa Kenya wameshindwa kuvumilia serekali Yao na kuamua kufanya vurugu ikiwa ni moja ya harakati za kuto kukubalia na unyama wanao fanyiwa na viongozi wa nchi yao Kenya na viongozi wake wote wa ngazi za juu wanatakiwa wawasikilize wananchi wao
RAIS Uhuru Kenyatta anaizika Kenya kwa mikono yake miwili, unanii walio mwita Rais wetu huenda ukawa ni unanii wa Rais wao
Pia wapinzani wa TANZANIA mnatakiwa mtuambie mkiwa viongozi wa nchi mtakua mnaongoza nchi kwa matakwa yenu au matakwa ya wananchi?
Maana wananchi wa Tanzania wamerufisha na hatua za Rais Magufuli alizo chukua na ndio walizo ziunga mkono alafu nyie hamtak mnataka njia zenu na si za wananch Sasa Kati ya magufuli na nyie Nan dikteta?
Pia kinachoendelea Kenya kiwe somo kwenu
Kwa pamoja Tuwaombee ndugu zetu wa Kenya wanao pitia wakati mgumu kipindi hichi Cha Corona
Wananchi wa Kenya wameshindwa kuvumilia serekali Yao na kuamua kufanya vurugu ikiwa ni moja ya harakati za kuto kukubalia na unyama wanao fanyiwa na viongozi wa nchi yao Kenya na viongozi wake wote wa ngazi za juu wanatakiwa wawasikilize wananchi wao
RAIS Uhuru Kenyatta anaizika Kenya kwa mikono yake miwili, unanii walio mwita Rais wetu huenda ukawa ni unanii wa Rais wao
Pia wapinzani wa TANZANIA mnatakiwa mtuambie mkiwa viongozi wa nchi mtakua mnaongoza nchi kwa matakwa yenu au matakwa ya wananchi?
Maana wananchi wa Tanzania wamerufisha na hatua za Rais Magufuli alizo chukua na ndio walizo ziunga mkono alafu nyie hamtak mnataka njia zenu na si za wananch Sasa Kati ya magufuli na nyie Nan dikteta?
Pia kinachoendelea Kenya kiwe somo kwenu