lugoda12
Senior Member
- Jul 28, 2018
- 160
- 337
Tuwakumbuke wazazi wetu bila kujali walipo au sisi tulipo. 👌
Mzee alipeleka simu yake kwa fundi ikatengenezwe, Fundi akamwambia mzee mbona simu yako hii sio mbovu kabisa, Mzee akamuuliza fundi kama sio mbovu kwanini sasa watoto wangu hawanipigii. 🥲 Tuwapigieni wazazi wetu walau mara mbili kwa wiki.
Mzee alipeleka simu yake kwa fundi ikatengenezwe, Fundi akamwambia mzee mbona simu yako hii sio mbovu kabisa, Mzee akamuuliza fundi kama sio mbovu kwanini sasa watoto wangu hawanipigii. 🥲 Tuwapigieni wazazi wetu walau mara mbili kwa wiki.