Jifunze kutoa maoni, sio amri! Unatuamuru tumkatae Gwajima, wewe Kama nani, kwa mamlaka gani ya kimaadili kuliko Gwajima, na madaraka gani ya kiuwakilishi?! Gwajima ana ufuasi Wa roho za watoto Wa Mungu zaidi ya elfu 70, je wewe katika dunia yako Una watu wangapi wanaokusikiliza na kukuamini Kama mtu Wa kutumainiwa nje ya mzunguko wako Wa ndugu na rafiki zako Wa karibu?!
Unafikiri watu Elf 70 waumini Wa Gwajima hawana uwezo, utashi na haki ya kujiamulia wakipendacho na wakaridhika mpaka wewe uwaamulie cha kufanya?!?!? Wacha hizo, mkatae kivyako au jaribu mkakati mwingine, stop being judgemental and holier than Thou!