Tuwakatae Maaskofu wa aina ya Gwajima

Tuwakatae Maaskofu wa aina ya Gwajima

Magamba mbona mnaweweseka au ndio dawa imeingia!? Mimi binafsi sio muumini wa Gwajima na wala si sali kwake ila nina mkubali kwa kusimamia kile anacho kiamini na kuto kuyumbishwa yumbishwa na yeyote. By the way mtu halazimishwi kusali au kuamini chochote ni yeye na utashi wake, ila inashangaza kwa kila msema kweli ni adui wa CCM hata maaskofu wengine walivyo mkanya Sitta kuhusu katiba mpya naye aliwa kashfu.
 
Mbona cardinal pengo alivyotumika kuvuruga maoni ya wananchi huku toa povu ama Slaa alivyotuhumu viongozi wa kiroho mbona mlikua mnashangilia! Tulieni sindano iwaingie sawasawa
 
Hao Ndio Wenye Sifa Ya Uchungaji Amung'unyi Maneno Na Afumbii Macho Zambi Nyeupe Anasema Nyeupe Na Nyeus Anasema Nyeusi Mchungaji Haupaswi Kuwa Mnafiki
 
Sisi tunawahitaji sana maasikofu wa aina ya gwajima maana hawakwepeshi ukweli pole yako wewe ambaye ulishakunywa maji ya ccm.
 
Safi sana Gwajima.ukweli utatuweka huru.wadanganyifu walie tuu.
 
atawaocha watu kanisani kama kibetwele au kuwangushia ghorofa km TB jOSHUA

SERIKALI NDO INAWALEA;
WANGEKUWA WAISLAM UNGESIKIA
 
1.png
 

Jamani nawaomba sana tusichanganye mambo! Ya Mungu tumuachie Mungu na ya Kaisari tumuachie Kaisari. Siasa na Dini haviingiliani, na ndiyo maana hakuna usajili wa dini Serikalini. Kama wewe ni kiongozi wa dini endelea na dini usiingie kwenye siasa, mnatuchanganya jamani!!!! Na kama unashughulika na siasa basi baki na siasa, usichanganye na dini!!!! Mbona hamueleweki!!!!!
 
Jifunze kutoa maoni, sio amri! Unatuamuru tumkatae Gwajima, wewe Kama nani, kwa mamlaka gani ya kimaadili kuliko Gwajima, na madaraka gani ya kiuwakilishi?! Gwajima ana ufuasi Wa roho za watoto Wa Mungu zaidi ya elfu 70, je wewe katika dunia yako Una watu wangapi wanaokusikiliza na kukuamini Kama mtu Wa kutumainiwa nje ya mzunguko wako Wa ndugu na rafiki zako Wa karibu?!

Unafikiri watu Elf 70 waumini Wa Gwajima hawana uwezo, utashi na haki ya kujiamulia wakipendacho na wakaridhika mpaka wewe uwaamulie cha kufanya?!?!? Wacha hizo, mkatae kivyako au jaribu mkakati mwingine, stop being judgemental and holier than Thou!
Teh,teh,teh,mkuu umemaliza,haya ndio yanaitwa makavu live maneno yako yamemfaa sana mleta mada inayolazimisha.
 
Ngoja Balali arudi nchini ndo CCM mtakapo tafuta pa kujificha. Heri kuwa na kina gwajima 10 kuliko slaa 1
 
Let's call everything by its proper name; thus spade is a spade and not a big spoon. Gwajima or mshenga or whatever is a conman and not a bishop, period.
 
Aliwataja maaskofu wakatoliki pia, umesikia wakisasambua? Maadili ya kiaskofu na ya mwanasiasa ni tofauti, ndivyo ilivyo pia kwenye majukumu yao

Katika kuwataja maaskofu, Dr. Slaa aliwaambia wandishi wa Habari kuwa Askofu Gwajima alimwambia kuwa baadhi ya Maaskofu wamehongwa. Sasa Askofu gwajima angefanya nini? Akae kimya ili aonekane na jamiii kuwa mnafiki wa kuwachonganisha wanasiasa na maaskofu?
Tufike mahali tuwe wakweli maana tukikaa kishabiki tu na kuacha uwongo utamalaki eti kwa kuwa na hofu ya viongozi kutojiingiza kwenye siasa si sahihi.
Ndani ya ccm wapo viongozi wa makani ambao wanajihusisha na siasa za chama hicho na kubwa kuliko mmoja wa wachungaji maarufu aliwahi kuteuliwa na Rais kuwa mbunge kupitia chama cha mapinduzi.
Watanzania wenzake mbona hapa hatukusema kitu juu ya viongozi wa dini kujihusisha na siasa?
Ndiyo maana nawambia muda mwingine huwa nashindwa kabisa kuwaelewa!
 
Tuwakubali maaskofu wa aina ya gwajima na tuwakatae wake/wachumba aina ya Josephine
 
Back
Top Bottom