SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
HII NI AKILI AU MATOPE......Wakati ADEL TAARABT wa morocco anasema hata kama QPR ipo kwenye hali mbaya ya kushuka daraja yeye akiitwa timu ya taifa atakwenda., PETER ODEMWINGIE analia kuachwa timu ya taifa ....huku kwetu watoto SAMATTA na ULIMWENGU kufika mazembe wameanza kufoji vyeti vya ugonjwa ili wasicheze...Soma CHAMPION LA LEO majibu ya daktari wa timu ya TAIFA....sasa mi najiuliza mazembe wanafoji vyeti wakifika MAN U, ARSENAL, BARCA, CHELSEA si watasema wametoka MALAWI, ZAMBIA AU UGANDA means si wabongo hawa