Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
Tanzania ya Mwl Nyerere ilijengwa katika misingi ya umoja na ndio sababu kubwa ya kufuta uchifu.
Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu.
Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa ya ukabila kwasababu yalishindwa kumaliza tawala za kichifu.
Mungu saidia taifa letu liepukane na hili tatizo la ukabila ambalo wanasiasa wanataka kulizalisha,kulipalilia na kulikuza.
Wasalamu Ngongo kwasasa Uru Kushumundu.
Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu.
Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa ya ukabila kwasababu yalishindwa kumaliza tawala za kichifu.
Mungu saidia taifa letu liepukane na hili tatizo la ukabila ambalo wanasiasa wanataka kulizalisha,kulipalilia na kulikuza.
Wasalamu Ngongo kwasasa Uru Kushumundu.