Tuwaepuke wanasiasa wanataka kutuletea ukabila kupitia uChifu

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,926
31,169
Tanzania ya Mwl Nyerere ilijengwa katika misingi ya umoja na ndio sababu kubwa ya kufuta uchifu.

Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu.

Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa ya ukabila kwasababu yalishindwa kumaliza tawala za kichifu.

Mungu saidia taifa letu liepukane na hili tatizo la ukabila ambalo wanasiasa wanataka kulizalisha,kulipalilia na kulikuza.

Wasalamu Ngongo kwasasa Uru Kushumundu.
 
Tanzania ya Mwl Nyerere ilijengwa katika misingi ya umoja na ndio sababu kubwa ya kufuta uchifu.

Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu.

Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa ya ukabila kwasababu yalishindwa kumaliza tawala za kichifu.

Mungu saidia taifa letu liepukane na hili tatizo la ukabila ambalo wanasiasa wanataka kulizalisha,kulipalilia na kulikuza.

Wasalamu Ngongo kwasasa Uru Kushumundu.
Acha kuzunguuka mbuyu mkuu, wanasiasa wangapi?! sema ” mwanasiasa Samia al-maarufu Chui jike ” ananda kuipasua Tanganyika . Na huo ndio ukweli..
Kibibi cha kiarabu kitakimbilia kwao Oman kituachie DHIKI. LAANAKUM.
 
Wasaidizi wa Rais naona wanaendelea kumpoteza tu kwa kila namna, walianza kwenye zile teuzi anateau leo kesho anatengua, naona mpaka sasa bado Rais anakosea mambo mengi, nadhani nae binafsi anastahili kubeba lawama.

Anatakiwa awe anajiuliza kama hayo anayokwenda kuyafanya yana maslahi kwa taifa au ndio yataligawa taifa, hilo jina chief Hangaya alipewa akalipokea naona amenogewa sasa anataka kuendeleza hiyo tabia kwa mikoa yote Tanzania.

Haya mambo hayana maana, tuna wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi nk hawa machifu wanaolazimishwa kuwepo sasa kazi yao ni ipi? au ni urembo tu, kwamba wanatambuliwa uwepo wao japo hawana kazi? mikoa ya Tanzania ina mchanganyiko wa makabila mengi sasa hivi, hii biashara anayoleta Rais ni kuturudisha nyuma tu kifikra wakati tulishatoka huko zamani.
 
Tanzania ya Nyerere Tanzania ya Nyerere. Wafu hawaipiganii Tanzania, walio hai ndio wenye jukumu la kuipigania. Kwann hatujifunzi hili?

Nyerere alishafanya sehemu yake si lazima kila lifanywalo leo tujiulize nyerere alifanyaje.
 
Tanzania ya Mwl Nyerere ilijengwa katika misingi ya umoja na ndio sababu kubwa ya kufuta uchifu.

Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu.

Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa ya ukabila kwasababu yalishindwa kumaliza tawala za kichifu.

Mungu saidia taifa letu liepukane na hili tatizo la ukabila ambalo wanasiasa wanataka kulizalisha,kulipalilia na kulikuza.

Wasalamu Ngongo kwasasa Uru Kushumundu.
Nani kasema analeta uchifu???....angalieni mambo kwa uhalisia.
Msikurupuke.,uchifu hakuna hizo unazoona ni minjonjo tu.....
 
Wasaidizi wa Rais naona wanaendelea kumpoteza tu kwa kila namna, walianza kwenye zile teuzi anateau leo kesho anatengua, naona mpaka sasa bado Rais anakosea mambo mengi, nadhani nae binafsi anastahili kubeba lawama.

Anatakiwa awe anajiuliza kama hayo anayokwenda kuyafanya yana maslahi kwa taifa au ndio yataligawa taifa, hilo jina chief Hangaya alipewa akalipokea naona amenogewa sasa anataka kuendeleza hiyo tabia kwa mikoa yote Tanzania.

Haya mambo hayana maana, tuna wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi nk hawa machifu wanaolazimishwa kuwepo sasa kazi yao ni ipi? au ni urembo tu, kwamba wanatambuliwa uwepo wao japo hawana kazi? mikoa ya Tanzania ina mchanganyiko wa makabila mengi sasa hivi, hii biashara anayoleta Rais ni kuturudisha nyuma tu kifikra wakati tulishatoka huko zamani.
Shaka ndio mojawapo, halafu katiba mbovu, ambayo inahitaji mtu aliyejitolea ndio anaweza kuitumia vizuri amasivyo itakuwa balaa.
 
Sidhani kama Rais analeta issue za ukabila ila nachokiona mimi ni kuwa kwakua aliingia madarakani bila kuwa na msingi wake wa kisiasa.

Muda huu ndio anautumia kujenga msingi wake.

Hivyo tumzoee na kuzoea events kama hizo.
 
Zanzibar sio kwa mjaa laana huyo. Kibibi cha kiarabu kwao Oman huko kwa washenzi wenzie..
MaCCM na kauli mbio liwalo na liwe CCM lazima ikubalike na itawale Milele.
Acha matusi mkuu....changia kistaarabu tu.

Hili suala linatumika kama mtaji wa kisiasa ila litavuruga taifa letu.
 
Hana cha kupoteza,kwao Zanzibar hali ni shwari
Pemba na Unguja kuna machief wangapi?
Na hio ni sababu nyingine kuwa Samia haifai Tanganyika....yupo pale kuvuruga tu

Tanganyika (Tanzania bara) imetekwa, inaongozwa na raia wa kigeni (raia kutoka Zanzibar)

DE99CDFE-C3EE-4559-84C8-83CA0672766D.jpeg
 
Acha kuzunguuka mbuyu mkuu, wanasiasa wangapi?! sema ” mwanasiasa Samia al-maarufu Chui jike ” ananda kuipasua Tanganyika . Na huo ndio ukweli..
Kibibi cha kiarabu kitakimbilia kwao Oman kituachie DHIKI. LAANAKUM.
Ni mwarabu kweli, kipindi hafuniki kichwa ukaziona nywele huulizi
 
Back
Top Bottom