Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Kamwe sitakuja Kuvaa Mashati ya Vitenge au kujichubua Ila Kuwa mwanaume siyo ruhusa ya Mimi kuwa Mchafu Uso kama fenesiMwanamke wa mkoani ana baraka zote za mungu,ole kwa wanaume wa Dar wanaojichubua,kurembua macho,kupiga selfie na fimbo ndefu,kuvaa milegezo,kupiga robo bao,kusuka nywele kama wadada,kuvaa mashati ya vitambaa vya khanga na kuuza tigo!!.......amen amen nakumbia tayari laana iko juu yao!