mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,626
- 4,937
kuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
Naona unakosea kidogo ku-generalize wanaume wa Dar na wengineo, si wote tuko huko. Asilimia kubwa ya wanaume wa Dar ni mboga a.k.a. samaki kwa sababu wanabinduliwa na kubindua na kama ukizoea haka kamchezo lazima utajikuta siku unamuiga dada ama mkeo kujichumbua kisha mnaanza kugombania vioo ndani ya nyumba. Pole kwa kuumizwa na umpendaye aliyesuka nywele na kujitoboa pua.