Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Hamna noma! Sema dah! Najichoresha kinyama yani...
hivi JF uko nayo serious sanaa?? Hebu tuachee bhana. Isije kuwa nakukwaza. Mie nilikua nakutania na wala hakuna ukweli wowote.

Nisamehee bureee, kuanzia now hutoona nazungumza au kusema chochote juu yako.
Relaaaaaaaxxx!!! Byeeeee
Enjoy your time,
 
Ukweli mtupu. Baadhi mihemko mingi, disscussion zisizo mantic na ulimbukeni wa uswahili wa vibarazani ndo inakujakuwapa shida+ huo uchuochuo.

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Wewe veroo! acha hizo kwa hiyo unataka mumeo awe kasuku kama wewe?
 
Kuna demu wangu alikuwa ananiulizaga,huko shule unaweza kuchapa wanafunzi, kweli?
 
Nyoka mwenyewe ingawa alimpa tunda ila hajawahi kumuelewa mwanamke tusijisumbue sana kutaka kuwaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…