Tutoane ushamba.

Tutoane ushamba.

ulikojoa vingapi mkuu?
Ni shida Niko ktk kukomoana , kwanza unachukua muda mrefu husikii msuguano wowote binafsi nilipiga bao moja Niko hoi na mpinzani karidhika lkn jamaa alikuwa bado hana tatizo na muendelezo ila hasumbui ukitulia anatulia ukianzisha yumo.
Kwa kukomoa adui lazima aombe po
 
Ni shida Niko ktk kukomoana , kwanza unachukua muda mrefu husikii msuguano wowote binafsi nilipiga bao moja Niko hoi na mpinzani karidhika lkn jamaa alikuwa bado hana tatizo na muendelezo ila hasumbui ukitulia anatulia ukianzisha yumo.
Kwa kukomoa adui lazima aombe po
kuna mtu anakomoleka kwa kugegedwa? unajikomoa mwenyewe na mavumbi yako
 
Nishawahi kuitumia ni vumbi kweli mfano wa mbao iliyosagwa.
Nilishauriwa kuweka kwenye lotion kisha unapaka kwenye mshedede baada ya muda unaosha na maji.hii dawa inachofanya ni kutoa ganzi upper part of the mshedede so unapo do mshedede unakuwa na ganzi eneo la juu so unakuwa ume-erect but you don't feel an opposite taste so it take muda mreeefu mreeefu saana to finish
Pole yake mkeo au mpenzi wako
 
Nishawahi kuitumia ni vumbi kweli mfano wa mbao iliyosagwa.
Nilishauriwa kuweka kwenye lotion kisha unapaka kwenye mshedede baada ya muda unaosha na maji.hii dawa inachofanya ni kutoa ganzi upper part of the mshedede so unapo do mshedede unakuwa na ganzi eneo la juu so unakuwa ume-erect but you don't feel an opposite taste so it take muda mreeefu mreeefu saana to finish


Hilo vumbi limetokana na udongo ama ni mbao au ni miti shamba...??
 
vumbi la kongo ni dawa ambayo anatumia mwanaume anayewahi kumaliza ili achelewe kufika kileleni, unapaka kidogo pembeni ya kichwa chako cha chini kwenye ule mzunguko kama uzi hivi
Ni uongo na utapeli
 
Dactari wako aliyeupa hiyo dawa hukumuuliza...??
Rafiki yangu alinunua na kunipatia kichupa kimoja na akaniambia wanawake wa bongo kawakomesha sasa anaenda NAyo Ulaya.na alinijulisha kuwa alinunua 15,000/=@
 
Rafiki yangu alinunua na kunipatia kichupa kimoja na akaniambia wanawake wa bongo kawakomesha sasa anaenda NAyo Ulaya.na alinijulisha kuwa alinunua 15,000/=@


Hhahah..! Duuuh kiuno ajira
 
Upo wapi mkuu? Mimi napajua hadi sehemu wanapoliuza..
Kesho nikipita maeneo yale nitawawekea picha
 
Upo wapi mkuu? Mimi napajua hadi sehemu wanapoliuza..
Kesho nikipita maeneo yale nitawawekea picha
Niko hapa hapa mjini kati... Utuambie linapatikana wapi,, Naskilia linauzwa ghali kama madini...!
 
Back
Top Bottom