Tutoane ushamba.

Tutoane ushamba.

SHAMAC

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
1,340
Reaction score
3,565
Ni stori inayotrend sana hapa TZ hasa hasa kwa social media, hadi inanifanya nijione TZ nimekuja kutalii na sio ninapoishi siku zote. Cha ajabu huwa najikuta kama niko mwenyewe nisiyekua na ufahamu kamili linapokuja swala la VUMBI LA KONGO. Linapokuja swala la mjadala wa vumbi la Kongo hua naachwa nyuma sasa nimekata utepe nataka nilifahamu hasaa vumbi la Kongo.

Hili vumbi la kongo lina kuaje kuaje? Tusije pishana na gari la mishahara.


1) Vumbi la kongo lina muda gani toka matumizi yake yaanze hasahasa TZ.
2) Texture yake ikoje?
3) Ni kweli vumbi natural ama ni chemical za viwandani?
4) Lina effect gani kwenye dushe ? / Malengo yake mwilini hasa ni yapi ?
5) Matumizi yake yakoje?
6) Ni dawa ya kienyeji ama iko well packed?
7) Masharti ya matumizi yana husiana na matambiko ama ni kawaida tu kama unavyokula mikongoraa?
8) Ni kweli linatokea Kongo/ asili yake ni kongo?
9) Wauzaji ama wasambazaji wa hili vumbi ni kina nani?
10) Limetengenezwa na components zipi? Na umaarufu wake umetokana na sifa gani ya kipekee iliyokuwa nayo?

Kuuliza sio ujinga. Mwenye ujuzi kamili na haya mavumbi ya mkongo man anijuze na naamini siko peke yangu nisiyelijua hili vumbi
 
Mimi mwenyewe natamani kujua ngoja tuwasikie wadau watujuze

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaah..
Nimecheka sana hasa pale niliposoma neno
" MIKONGORAA"

Anyway, vumbi langu la kongo ni kwenda gym kufanya mazoez...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukijibiwa no 3,4 hebu unitag

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
vumbi la kongo ni dawa ambayo anatumia mwanaume anayewahi kumaliza ili achelewe kufika kileleni, unapaka kidogo pembeni ya kichwa chako cha chini kwenye ule mzunguko kama uzi hivi
 
vumbi la kongo ni dawa ambayo anatumia mwanaume anayewahi kumaliza ili achelewe kufika kileleni, unapaka kidogo pembeni ya kichwa chako cha chini kwenye ule mzunguko kama uzi hivi


Kuna maswali mengine yameulizwa. Vipi huna ujuvi nayo?
 
ni dawa ya kienyeji haina mchanganyiko mwingine na haina madhara na ukipaka uwe na mtu wako karibu
 
Nishawahi kuitumia ni vumbi kweli mfano wa mbao iliyosagwa.
Nilishauriwa kuweka kwenye lotion kisha unapaka kwenye mshedede baada ya muda unaosha na maji.hii dawa inachofanya ni kutoa ganzi upper part of the mshedede so unapo do mshedede unakuwa na ganzi eneo la juu so unakuwa ume-erect but you don't feel an opposite taste so it take muda mreeefu mreeefu saana to finish
 
Nishawahi kuitumia ni vumbi kweli mfano wa mbao iliyosagwa.
Nilishauriwa kuweka kwenye lotion kisha unapaka kwenye mshedede baada ya muda unaosha na maji.hii dawa inachofanya ni kutoa ganzi upper part of the mshedede so unapo do mshedede unakuwa na ganzi eneo la juu so unakuwa ume-erect but you don't feel an opposite taste so it take muda mreeefu mreeefu saana to finish
ulikojoa vingapi mkuu?
 
Back
Top Bottom