Tutengeneze ubuyu wa Zanzibar

Tutengeneze ubuyu wa Zanzibar

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,786
Hell

Leo tutengeneze ubuyu mzuri wa zanzibar ukiwa nyumbani kwako

Hatua ya kwanza utaanda shila ambayo ina husisha maji na sukari maji yawe kidogo sukari iwe nyingi
1752570744653.jpeg

Kisha shila ikishakuwa nzito sana una weka food color mimi nime tumia nyekundu
1752570810523.jpeg

Baada ya hapo uta mimina shila kwenye ubuyu wako pembeni kisha utaweka barking powerd na pilipili kama utapendelea pilipili
1752570884918.jpeg

Kisha uta changanya pole pole mchanganyiko ili uwe vizuri
1752570929550.jpeg

Na unaona ubuyu wangu una onekana kama ivyo hii una fanya ukiwa nyumbani kupunguza stress na kuifanya nyumba yako isi kosekane kitu cha kutafuna yaan kuchanga msha mdomo

Pia una weza fanya biashara pia kupitia hii tu tupo hapa kujifunza na kuongeza mahalifa ambayo wengine hawana wengine wana yapata kwa kulipia mimi natoa bureeee injoy
 
Back
Top Bottom