Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,786
Hell
Leo tutengeneze ubuyu mzuri wa zanzibar ukiwa nyumbani kwako
Hatua ya kwanza utaanda shila ambayo ina husisha maji na sukari maji yawe kidogo sukari iwe nyingi
Kisha shila ikishakuwa nzito sana una weka food color mimi nime tumia nyekundu
Baada ya hapo uta mimina shila kwenye ubuyu wako pembeni kisha utaweka barking powerd na pilipili kama utapendelea pilipili
Kisha uta changanya pole pole mchanganyiko ili uwe vizuri
Na unaona ubuyu wangu una onekana kama ivyo hii una fanya ukiwa nyumbani kupunguza stress na kuifanya nyumba yako isi kosekane kitu cha kutafuna yaan kuchanga msha mdomo
Pia una weza fanya biashara pia kupitia hii tu tupo hapa kujifunza na kuongeza mahalifa ambayo wengine hawana wengine wana yapata kwa kulipia mimi natoa bureeee injoy
Leo tutengeneze ubuyu mzuri wa zanzibar ukiwa nyumbani kwako
Hatua ya kwanza utaanda shila ambayo ina husisha maji na sukari maji yawe kidogo sukari iwe nyingi
Kisha shila ikishakuwa nzito sana una weka food color mimi nime tumia nyekundu
Baada ya hapo uta mimina shila kwenye ubuyu wako pembeni kisha utaweka barking powerd na pilipili kama utapendelea pilipili
Kisha uta changanya pole pole mchanganyiko ili uwe vizuri
Na unaona ubuyu wangu una onekana kama ivyo hii una fanya ukiwa nyumbani kupunguza stress na kuifanya nyumba yako isi kosekane kitu cha kutafuna yaan kuchanga msha mdomo
Pia una weza fanya biashara pia kupitia hii tu tupo hapa kujifunza na kuongeza mahalifa ambayo wengine hawana wengine wana yapata kwa kulipia mimi natoa bureeee injoy