katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Naomba unifungulie mlango niingie maana ile siku mvua imenyesha ikanoga haka kausaliti ketu au unabishaUlishamtembelea mkuu?[emoji16][emoji16][emoji16]
Naomba unifungulie mlango niingie maana ile siku mvua imenyesha ikanoga haka kausaliti ketu au unabishaUlishamtembelea mkuu?[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3],basi fungua
[emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka walah, hivi hapa kwangu kuna chumbani na sebuleniNjoo niko sebuleni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka walah, hivi hapa kwangu kuna chumbani na sebuleni
Let's try thanksJumamosi na Jumapili ni siku za kukutana na jamii yako inayokuzunguka,ikiwezekana hata ndugu zako walioko kijijini n.k Sio kila siku kujiweka bize kutafuta ela/fedha,fedha huwa hazijai....kuwatembelea jamii inayotuzunguka ni kuonyesha ukomavu wa kiumri pamoja na hekima.Do it...!
nimelike binamuSamaki mmoja wa kukaanga na ugali unatosha
Sawa binamunimelike binamu