Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,828
ha ha ha mkiingia mjengoni huwa mnakaba penati zoteUnadhani malezi yangu makubwa basi ..si hivyo umeona mwenyewe
ha ha ha unamaanisha bila zawadi hakuna mazungumzo
ha ha ha ha na kulala je?ataishia kulishwa ugali dagaa
Haya anza wewe tembelea hao ndugu zakoJumamosi na Jumapili ni siku za kukutana na jamii yako inayokuzunguka,ikiwezekana hata ndugu zako walioko kijijini n.k Sio kila siku kujiweka bize kutafuta ela/fedha,fedha huwa hazijai....kuwatembelea jamii inayotuzunguka ni kuonyesha ukomavu wa kiumri pamoja na hekima.Do it...!
Hamna mimi sipo hivyo, try meha ha ha mkiingia mjengoni huwa mnakaba penati zote
ha ha ha ha na kulala je?
Ratiba nilishaiandaa,kesho nitaenda bushi nikapate ubaridi wa milimani jumapili usiku nitakuwa nyumbaniHaya anza wewe tembelea hao ndugu zako
Fungua mlango niko hapa nje.Utajiju.
ha ha ha hasebuleni au stoo
Unajua kabisa siwezi kukufungulia[emoji3][emoji3]Fungua mlango niko hapa nje.
Ok nitakujaHamna mimi sipo hivyo, try me
Nitakuja mimiOk nitakuja
anapenda zawadi huyooo so jipange mkuu
Nina ufunguo ujue!Unajua kabisa siwezi kukufungulia[emoji3][emoji3]
ha ha ha ha kukaa pamoja na kula pamoja ni ishara ya upendo
ha ha ha ha yote sawaNitakuja mimi
[emoji3][emoji3][emoji3] nilibadilisha kitasa nyoooNina ufunguo ujue!
Huu ufunguo unafungua kila kitasa utakachobadilisha.[emoji3][emoji3][emoji3] nilibadilisha kitasa nyooo
[emoji3][emoji3][emoji3],basi funguaHuu ufunguo unafungua kila kitasa utakachobadilisha.