Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,951
- 61,758
- Thread starter
- #21
Karibu mkuu,tupate yale maji yetu ya dhahabu,ndizi na nyama chomaMimi nataka nikutembelee wewe mkuu
Karibu mkuu,tupate yale maji yetu ya dhahabu,ndizi na nyama chomaMimi nataka nikutembelee wewe mkuu
Sio ya kupiga picha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sikuamini, nipigie picha hiyo faida kwanza ndio nikuruhusu uje
Asante mkuuKaribu mkuu,tupate yale maji yetu ya dhahabu,ndizi na nyama choma
Ninachokupendea wewe,huna garama.....una hofu ya Mungu.Samaki mmoja wa kukaanga na ugali unatosha
Karibu mkuu,tupate yale maji yetu ya dhahabu,ndizi na nyama choma
Asante mkuu
Ewaaaaaa...Na kitimoto kidogo pia![emoji16][emoji16][emoji16]
ha ha ha ha kukaa pamoja na kula pamoja ni ishara ya upendoNa kitimoto kidogo pia![emoji16][emoji16][emoji16]
Utajiju.Sio ya kupiga picha
[emoji3][emoji3][emoji3]Ninachokupendea wewe,huna garama.....una hofu ya Mungu.
Ningelikuwa bachela tungezungumza yanayotuhusu[emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona hata sasa tunaweza kuzungumza, unataka kusema milango imefungwa kabisa?Ningelikuwa bachela tungezungumza yanayotuhusu
Tabata ipiAnza ww karibu kwetu Tabata
anapenda zawadi huyooo so jipange mkuuMimi nataka nimtembelee Miss Natafuta nione chura![emoji6][emoji6][emoji6]
SegereaTabata ipi
ha ha ha ha malezi yatanishinda mkuuMbona hata sasa tunaweza kuzungumza, unataka kusema milango imefungwa kabisa?
ha ha ha unamaanisha bila zawadi hakuna mazungumzoanapenda zawadi huyooo so jipange mkuu
ha ha ha ha malezi yatanishinda mkuu