Ph.D za wanasiasa ni kwa ajili ya kutishia. Akiona hawatishiki anaitaja kwenye TV ili nchi ijue ana Ph.D.
PhD. ina thamani inapokuwezesha kuwasiliana na dunia. Angalia sasa! Mwigulu hajawahi kuandika chapisho lolote toka ktk hiyo Ph.D. Maana yake haina lolote la kuwasilisha duniani!
Akili za darasani ni Tatizo la Kitaifa kwenye Ofisi Nyingi tu Tanzania...sijui suluhu yake ni nini?!..Mwigulu ana akili za darasani.
..Tatizo hajafanya kazi ktk taaluma yake ya uchumi.
..alitakiwa afanye kazi ktk taasisi za masuala ya fedha na uchumi na atambulike kitaaluma ndipo aaminiwe kuwa waziri wa fedha.
UDSMHivi hizi PhD zao wanaokota wapi ?
baraza la mawaziri livunjwe. hatuna waziri mkuu kila mara yuko Ruangwa, ni waziri mkuu wa Ruangwa?Baada ya kuapishwa kwa Dr. Tax kuwa Mbunge ni dhahiri kuwa kutakuwa na reshuffle ya baraza la mawaziri.
Ni mawaziri gani unahisi wanahitaji kupumzishwa na Mh. Rais?
Anaenda kumpiku lameck?Baada ya kuapishwa kwa Dr. Tax kuwa Mbunge ni dhahiri kuwa kutakuwa na reshuffle ya baraza la mawaziri.
Ni mawaziri gani unahisi wanahitaji kupumzishwa na Mh. Rais?
WANGEKUWEPO HAWA WEZI NA MAGAIDI WANGEFAA WASINGETAFUTA MITAANICha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani
WAWEKWE HAWA WEZIbaraza la mawaziri livunjwe. hatuna waziri mkuu kila mara yuko Ruangwa, ni waziri mkuu wa Ruangwa?
Huyo mama namkubali.Cha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani
Wewe kweli ni BOYA hasaa!WANGEKUWEPO HAWA WEZI NA MAGAIDI WANGEFAA WASINGETAFUTA MITAANI
Haya mambo ndo yalimpoteza saa 8 baada ya kuandika mapungufu y phd ya msepa zakePh.D za wanasiasa ni kwa ajili ya kutishia. Akiona hawatishiki anaitaja kwenye TV ili nchi ijue ana Ph.D.
PhD. ina thamani inapokuwezesha kuwasiliana na dunia. Angalia sasa! Mwigulu hajawahi kuandika chapisho lolote toka ktk hiyo Ph.D. Maana yake haina lolote la kuwasilisha duniani!
wakiingia ccm akili zote wanaacha mlangoniHuyo mama namkubali.
Naye ni CCM?
Hayo ndiyo maajabu!
Mbona amefanya BOT miaka mingi tu?..Mwigulu ana akili za darasani.
..Tatizo hajafanya kazi ktk taaluma yake ya uchumi.
..alitakiwa afanye kazi ktk taasisi za masuala ya fedha na uchumi na atambulike kitaaluma ndipo aaminiwe kuwa waziri wa fedha.
Hilo nalo la kushangaza? Watu ambao wanashangaana wenyewe kwa wenyewe? Wameongeza tozo halafu wanashangaa nani kaongeza?Wanamsulubu Slaa kwa kusema kuwa wabunge hawalipi kodi wakati Slaa ni mbunge mwenzao na anajua kuwa halipi kodi! iNAKUWAJE WAO WANALIPA?Cha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani
Dr. Stegomana TaxNani kaapishwa kwani wengine tuko mbali
Anachukua Wizara ya Fedha huyo hopefully yule gaidi Mwigulu Nchemba ataachwa nje ya Baraza la Mawaziri.
Sugu na Lema wanafaaCha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani
CCM wana watu. Nyie CDM mna watu wa kuunda serikali ya jimbo mnayohubiri achilia mbali cabinet maana mtajaza aakina yule mnamuita dogo janja.Cha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani