Tutegemee Reshuffle ya Cabinet?

Ahsante sana Mkuu πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ‘πŸ½
Ph.D za wanasiasa ni kwa ajili ya kutishia. Akiona hawatishiki anaitaja kwenye TV ili nchi ijue ana Ph.D.
PhD. ina thamani inapokuwezesha kuwasiliana na dunia. Angalia sasa! Mwigulu hajawahi kuandika chapisho lolote toka ktk hiyo Ph.D. Maana yake haina lolote la kuwasilisha duniani!
 
Cha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani
WANGEKUWEPO HAWA WEZI NA MAGAIDI WANGEFAA WASINGETAFUTA MITAANI

1631280420344.png
 
Ph.D za wanasiasa ni kwa ajili ya kutishia. Akiona hawatishiki anaitaja kwenye TV ili nchi ijue ana Ph.D.
PhD. ina thamani inapokuwezesha kuwasiliana na dunia. Angalia sasa! Mwigulu hajawahi kuandika chapisho lolote toka ktk hiyo Ph.D. Maana yake haina lolote la kuwasilisha duniani!
Haya mambo ndo yalimpoteza saa 8 baada ya kuandika mapungufu y phd ya msepa zake
 
..Mwigulu ana akili za darasani.

..Tatizo hajafanya kazi ktk taaluma yake ya uchumi.

..alitakiwa afanye kazi ktk taasisi za masuala ya fedha na uchumi na atambulike kitaaluma ndipo aaminiwe kuwa waziri wa fedha.
Mbona amefanya BOT miaka mingi tu?
 
Cha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani
Hilo nalo la kushangaza? Watu ambao wanashangaana wenyewe kwa wenyewe? Wameongeza tozo halafu wanashangaa nani kaongeza?Wanamsulubu Slaa kwa kusema kuwa wabunge hawalipi kodi wakati Slaa ni mbunge mwenzao na anajua kuwa halipi kodi! iNAKUWAJE WAO WANALIPA?
 
Cha kushangaza sasa miongoni mwa mamia ya wabunge walioko ccm hakuna anayefaa kuwa waziri ! eti hadi watu watafutwe mitaani
CCM wana watu. Nyie CDM mna watu wa kuunda serikali ya jimbo mnayohubiri achilia mbali cabinet maana mtajaza aakina yule mnamuita dogo janja.
 
Kuna mawaziri walikuwaga front kifrontifronti saivi wako bakibencha sjui wanatunga sheria??
Ardhi,sheria bora wangestaafu wawaachie kazi vijana hawaendi na kasi ya mazeri kwanza niaibu akiwafukuza,akiwagombeza,akiwatuma yaani nishida wangeachia tuu japo cheo kitamu
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom