BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Ahsante sana Mkuu ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐ฝ
Ph.D za wanasiasa ni kwa ajili ya kutishia. Akiona hawatishiki anaitaja kwenye TV ili nchi ijue ana Ph.D.
PhD. ina thamani inapokuwezesha kuwasiliana na dunia. Angalia sasa! Mwigulu hajawahi kuandika chapisho lolote toka ktk hiyo Ph.D. Maana yake haina lolote la kuwasilisha duniani!