Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,403
Huyo inaitww above the scope of your thinking
Asante sanaMkuu mbona ninaona kama umejijibu?
Hiyo ipo kiimani zaidi. Ufufuo uongelewao na yesu ni hukumu. Kufufua ukilichukulia kwa kiswahili sanifu ni kuhuisha. Sasa kufufua 'wazima' na wafu! Kwanini wazima wafufuliwe kabla hawajafa?
Kiama maana yake ni mwisho wa dunia. Hapo kutakuwa na makundi mawili, 'wazima' ( watakatifu)na 'wafu' (waliotenda dhambi).
Lakini kiuhalisia hakuna kitakachokuwepo hai wakati kiama kinafika. Uelewe kila nafsi itaonja mauti.
Hizo imani zingine za Kibudha za kuzaliwa upya sizijui.
Ila [HASHTAG]#sky eclat[/HASHTAG] amenukuu kuhukumiwa 'wazima na wafu' kitu ambacho kwa mtazamo wangu kufufuliwa kwa wafu sio lazima kwani hukumu itakuwa huko huko. Kama watafufuliwa kwanza basi hawatakuwa wafu tena bali wazima, hii inaleta mkanganyiko.Unauliza duniani tutatosha siku ya hukumu watakapofufuliwa wote walokufa(imani ya kikatoliki), si ndio ?
Kama ndivyo interesting qn![]()
Kama ni hivyo basi tunaonewa....hatufanyi vitu kwa utashi wetu....tumerithi na ni kama vilisha pangwa....Lakini Mungu si anajua pale unapozaliwa tu kwamba huyu atashinda
na huyu atashindwa? (kwa Mujibu wa imani hizo)