Tutatosha kweli hapa duniani?

Tutatosha kweli hapa duniani?

Tunalindwa against our enemy kwaajili ya pay back au neema?
There is a purpose for each one of us to be in this earth. Some of us die prematurely before fulfilling their purpose. By the grace of the Holy Spirit you will fulfill your purpose.
 
There is a purpose for each one of us to be in this earth. Some of us die prematurely before fulfilling their purpose. By the grace of the Holy Spirit you will fulfill your purpose.
What the purpose of living if we all end up dying?alafu previous umesema utakuwa protected kufulfil his purpose inakuwaje wengine hawafanikishi au hawawi protected na hilo ni tatzo la nani?maana kwa mtazamo wako masterplanner ni holyspirit
 
What the purpose of living if we all end up dying?alafu previous umesema utakuwa protected kufulfil his purpose inakuwaje wengine hawafanikishi au hawawi protected na hilo ni tatzo la nani?maana kwa mtazamo wako masterplanner ni holyspirit
God is the master planner, all of these were destroyed by the work of Satan after convincing Eve to eat the fruit. Jesus came to redeem us and Holy Spirit is teaching us what we have forgotten in the teaching of Jesus.
 
God is the master planner, all of these was destroyed by the work of Satan after convincing Eve to eat the fruit. Jesus came to redeem us and Holy Spirit is teaching us what we have forgotten in the teaching of Jesus.
Vipi kuhusu imani nyingine?
 
God is the master planner, all of these was destroyed by the work of Satan after convincing Eve to eat the fruit. Jesus came to redeem us and Holy Spirit is teaching us what we have forgotten in the teaching of Jesus.
Lakini Mungu si alishajua Mapema kwamba tunda litaliwa tu pamoja na
ukatazo wake? Na alijua atakayefanya hivyo ni Ibilisi? Kosa la Ibilisi liko wapi
kwa kitu ambacho alipangiwa? Ushujaa wa Yesu uko wapo kwa jambo lililopangwa?

Mbona kama ile hadithi ya wachezesha vinyago puppet.
 
Lakini Mungu si alishajua Mapema kwamba tunda litaliwa tu pamoja na
ukatazo wake? Na alijua atakayefanya hivyo ni Ibilisi? Kosa la Ibilisi liko wapi
kwa kitu ambacho alipangiwa? Ushujaa wa Yesu uko wapo kwa jambo lililopangwa?

Mbona kama ile hadithi ya wachezesha vinyago puppet.
Eve na Adam walipewa mtihani ambao waliushindwa. Kwenye maandiko hata Yesu alijaribiwa na Shetani lakini alimshinda. Sisi sasa hivi tuko kwenye mtihani.
 
Eve na Adam walipewa mtihani ambao waliushindwa. Kwenye maandiko hata Yesu alijaribiwa na Shetani lakini alimshinda. Sisi sasa hivi tuko kwenye mtihani.
Lakini Mungu si anajua pale unapozaliwa tu kwamba huyu atashinda
na huyu atashindwa? (kwa Mujibu wa imani hizo)
 
Lakini Mungu si alishajua Mapema kwamba tunda litaliwa tu pamoja na
ukatazo wake? Na alijua atakayefanya hivyo ni Ibilisi? Kosa la Ibilisi liko wapi
kwa kitu ambacho alipangiwa? Ushujaa wa Yesu uko wapo kwa jambo lililopangwa?

Mbona kama ile hadithi ya wachezesha vinyago puppet.
Ushujaa wa Yesu uko pale kwa kuweza kuishi kama wanadamu mfano alisema kikombe hiki kiniepuke na msalaban pia aliomba maji ya kunywa alipotray uanadamu.
Haya mambo ya imani yananivuruga sana.
 
Katika imani ya Buddha hata Hindu wanaamini mwisho wa binadamu ni kufa na kuzaliwa tena. Kuzaliwa huku kutatokana na matendo yako. Kama yalikuwa ni ya kumpendeza Mungu basibutazaliwa kwenye familia yenye tunu na furaha. Kama ulikuwa mtskaji na mtesaji unaweza kuzaliwa inzi.

Imani ya Ukristu, tunaamini bwana Yesu atarudi kuwahukumu wazima na wafu. Kutokana na matendo yao.

Hapa ninachowaza wale babu zetu walio chukulia utumwani, wale watoto ambao mimba zilitolewa, wale marehemu wote wakiwa hai. Hii dunia tutatosha kweli?

Mbona premises zako haziendani na swali lako?
 
Tatizo la Bangi vutaji uwa ana akili za ziada mpaka kupitiliza,,,
Hapo kwenye kuzaliwa Inzi natamani wale wasiojulikana wazaliwe mbwa koko...
 
Kwa wale wa Buddha,nimeweka na Picha ya temple ambayo ipo Kathmandu,Nepal ambako Buddha alizaliwa!!
IMG_20180425_103726.jpg
 
Eve na Adam walipewa mtihani ambao waliushindwa. Kwenye maandiko hata Yesu alijaribiwa na Shetani lakini alimshinda. Sisi sasa hivi tuko kwenye mtihani.

Sasa kama Mungu au mungu alijua uwezo wa Adam na Eva mtihani ulikuwa wa nini? Na kama walishindwa basi kuna sehemu Mungu/ mungu nae hakuweka vitu sawa. Hata leo hii, walio wengi wanashindwa huo mtihani, hivyo kuna walakini katika utendaji wa Mungu/ mungu.
 
Spiritually
Mkuu mbona ninaona kama umejijibu?
Hiyo ipo kiimani zaidi. Ufufuo uongelewao na yesu ni hukumu. Kufufua ukilichukulia kwa kiswahili sanifu ni kuhuisha. Sasa kufufua 'wazima' na wafu! Kwanini wazima wafufuliwe kabla hawajafa?
Kiama maana yake ni mwisho wa dunia. Hapo kutakuwa na makundi mawili, 'wazima' ( watakatifu)na 'wafu' (waliotenda dhambi).
Lakini kiuhalisia hakuna kitakachokuwepo hai wakati kiama kinafika. Uelewe kila nafsi itaonja mauti.
Hizo imani zingine za Kibudha za kuzaliwa upya sizijui.
 
Unauliza duniani tutatosha siku ya hukumu watakapofufuliwa wote walokufa(imani ya kikatoliki), si ndio ?

Kama ndivyo interesting qn
 
Back
Top Bottom