Tutarusha mkutano live toka Arusha

Chadema waanzishe tv ,tumechoka kudandiadandia kwenye station mchwara.
 
Chadema waanzishe tv ,tumechoka kudandiadandia kwenye station mchwara.
 
Big Up Arusha Mambo unatusaidia sana sisi tulio mbali, hii ndio maana ya teknolojia.
 
Ni kweli siyo swala la kudandia tu, Chadema wajiandae kwa 2015 maana Lowasa ana redio na Tv huko Arusha pia Dar ana New Habari corporation aliyouziwa na Salva Rweyemamu(mkurugenzi wa habari Ikulu), CDM bila TV, uchaguzi wa 2015 wananchi wachache waliobaki na magamba ya kijani watatapeliwa tena. Tafuteni wafadhili mapema
 
Ni kweli siyo swala la kudandia tu, Chadema wajiandae kwa 2015 maana Lowasa ana redio na Tv huko Arusha pia Dar ana New Habari corporation aliyouziwa na Salva Rweyemamu(mkurugenzi wa habari Ikulu), CDM bila TV, uchaguzi wa 2015 wananchi wachache waliobaki na magamba ya kijani watatapeliwa tena. Tafuteni wafadhili mapema

Lowasa ana tv station Arusha!? Sijawahi kuiona!
 
Chadema waanzishe tv ,tumechoka kudandiadandia kwenye station mchwara.

uchwara masaburi yako, unajua maana ya harakati? watu wanajituma kuweka link tusikilize unasema uchara? maku. arusha mambo tupo nyuma yenu kama kawa vua.... vaa... ppppppppiiiipozzzz
 
Back
Top Bottom