sisame
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 365
- 320
What if mjamzito ni mtoto mmojawapo kati ya hao walio na umri zaidi ya miaka mitano???what if mjamzito ndo mke huyo huyo wa mwita?
What if mjamzito ni mtoto mmojawapo kati ya hao walio na umri zaidi ya miaka mitano???what if mjamzito ndo mke huyo huyo wa mwita?
mtoto hajazaliwa anahesabiwa kweli? au kihesabu anahesabiwa?
hapo mkuuWatoto chini ya miaka mitano= 2,
Watoto zaidi ya miaka mitano=4,
Mjamzito yupo kwenye idadi ya watoto 4,
Mke =1,
Mzee mwita
Jumla familia inawatu 8,
Waliotumia chandarua Ni mjamzito na Mtoto mmoja, na mzee Mwita na mke wake na Mtoto mwingine wa chini ya miaka 5 walilala pamoja,
Kwa hiyo ambao hawakutumia chandarua Ni watatu
ukiwa mjamzito unageuka kuwa mtoto?What if mjamzito ni mtoto mmojawapo kati ya hao walio na umri zaidi ya miaka mitano???
hapo mkuu
angesema mtoto mmoja mjamzito kama ni beki tatu je ahahaa au mke wa pili?Kwenye watoto wanne ambao umri Ni zaidi ya miaka 5 na huyo mama mjamzito yupo hapo maana huyo binti japo mjamzito kwa wazazi bado Ni Mtoto wao tu, Mtoto kwa wazazi hakui
ukiwa mjamzito unageuka kuwa mtoto?
angesema mtoto mmoja mjamzito kama ni beki tatu je ahahaa au mke wa pili?
aya mkuu umeshinda nishapata ziro nitaenda udom na wewe mlimani ahahaaHuyo Ni mwanae Mwita ila anaujauzito swala la utoto kwa mzee Mwita liko pale pale, labda nikuulize ulipozaa au utakapozaa Baba na mama yako ndiyo mwisho wakukuita kuwa Ni Mtoto wao?
Watoto zaidi ya miaka mitano means 6-17, kwa mujibu wa katiba ya JMT! Lolote linaweza kutokea kwa mtoto wa umri tajwa hapo juu!ukiwa mjamzito unageuka kuwa mtoto?
2????Wako nane
no.2????Wako nane
umejuaje kama tumboni kuna katoto kamoja?
uzembe wa kufikiri huuKwa sababu hajaeleza kuwa tumboni kuna mapacha.... Otherwise mwenye swali atakuwa anatuletea ukichaa sasa wa kubuni
Sio uzembe hata kidogouzembe wa kufikiri huu
mkuu hili swali usilichukulie kitoto.Sio uzembe hata kidogo