Tutanue ubongo hapa

Tutanue ubongo hapa

Mzee Mwita yeye yuko busy kufyatua tu hata majina ya wanawe wakati mwingine huyasahau.
🙂🙂🙂
hahahaa anatimiza maneno ya mukulu wa magogoni!!!
😉😉😉
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa nini Mzee mwita asije tu kutupa ukweli? Yeye ndiye anajua familia yake, anajua idadi ya chandarua alizonazo, na wangapi hawatumii chandarua..!! Mzee mwita mbona unatufanyia hivi?
 
Kwa nini Mzee mwita asije tu kutupa ukweli? Yeye ndiye anajua familia yake, anajua idadi ya chandarua alizonazo, na wangapi hawatumii chandarua..!! Mzee mwita mbona unatufanyia hivi?
mkuu unataka kuleta habari za kufind x kwa kuizungushia duara pale ilipoandikwa..?..lol
btw, jaribu kuleta majibu basi
 
Kwenye kaya/familia ya Mzee Mwita kuna watoto 2 wenye umri chini ya miaka 5, wa4 wenye zaidi ya miaka 5, mjamzito mmoja na mke mmoja. Kaya ya mzee Mwita ina vyandarua viwili vilivyotiwa dawa. Usiku wa kuamkia jana waliotumia chandarua ni mjazito na mtoto mmoja chini ya miaka 5.
1.Taja idadi ya watu katika kaya hii.
2. Ni wanafamilia wangapi hawakutumia chandarua usiku wa kuamkia jana?
Watoto chini ya miaka mitano= 2,
Watoto zaidi ya miaka mitano=4,
Mjamzito yupo kwenye idadi ya watoto 4,
Mke =1,
Mzee mwita
Jumla familia inawatu 8,
Waliotumia chandarua Ni mjamzito na Mtoto mmoja wa chini ya miaka 5, na mzee Mwita na mke wake na Mtoto mwingine wa chini ya miaka 5 walilala pamoja,
Kwa hiyo ambao hawakutumia chandarua Ni watatu
 
ngoja nijalibu chini ya miaka mitano=2
Kwenye kaya/familia ya Mzee Mwita kuna watoto 2 wenye umri chini ya miaka 5, wa4 wenye zaidi ya miaka 5, mjamzito mmoja na mke mmoja. Kaya ya mzee Mwita ina vyandarua viwili vilivyotiwa dawa. Usiku wa kuamkia jana waliotumia chandarua ni mjazito na mtoto mmoja chini ya miaka 5.
1.Taja idadi ya watu katika kaya hii.
2. Ni wanafamilia wangapi hawakutumia chandarua usiku wa kuamkia jana?
ngoja nijaribu
chini ya miaka 5=2
zaidi ya miaka 5=4
mjamzito=1
mke1
mzee mwita1
kwahyo hapo wanakuwa watu 9
waliotumia net ni wawili
 
Watoto chini ya miaka mitano= 2,
Watoto zaidi ya miaka mitano=4,
Mjamzito yupo kwenye idadi ya watoto 4,
Mke =1,
Mzee mwita
Jumla familia inawatu 8,
Waliotumia chandarua Ni mjamzito na Mtoto mmoja, na mzee Mwita na mke wake na Mtoto mwingine walilala pamoja,
Kwa hiyo ambao hawakutumia chandarua Ni watatu
mtoto hajazaliwa anahesabiwa kweli? au kihesabu anahesabiwa?
 
Back
Top Bottom