Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,165
- 29,866
Kwani mama yuko Gaza?Ukiona hivyo ujue Israili ameshakabidhiwa faili lake tayari na sisi Watanganyika tunamtakia Israili utendaji uliotukuka.
Kwani mama yuko Gaza?Ukiona hivyo ujue Israili ameshakabidhiwa faili lake tayari na sisi Watanganyika tunamtakia Israili utendaji uliotukuka.
Israili ni yule malaika mtoa roho za watu na tayari analo faili la mama Dully, just stay tunedKwani mama yuko Gaza?
Asichelewe sana. Anaweza kujikuta yupo futi sita ardhini au jela asiyoweza kutoka akiwa hai.ANAWAHI DUBAI! kwa ndugu zake WAARABU
"tahadhari" hanayo tena; kishajifunga kwenye hayo mabaya ambayo hawezi kuyafuta.Kukumbukea ni jambo la kawaida kwa mtawala wa aina yake mara tu baada ya kufa au kutoka madarakani. Muhimu aangalie atakumbukwa kwa yapi! Mazuri mengi na mabaya machache, au atakumbukwa kwa mazuri machache na mabaya mengi!
Haitasaidia chochote, polisi hawana uwezo wa kuzuia furaha za watu mioyoni.Siku likifa liuaji , policcm watakua deployed kuzuia shangwe na nderemo mitaani najua watazuia hadi watu kufungua sehemu za starehe.
Hiyo siku itakua ni shangwe kuu kwa watanganyika wote wanaoitakia Tanganyika mema.Haitasaidia chochote, polisi hawana uwezo wa kuzuia furaha za watu mioyoni.