-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 1,669
- 2,803
Kama unalijua hilo basi itoshe kusema kuwa wewe ni punguani.Najua
Samahani lakini.
Kama unalijua hilo basi itoshe kusema kuwa wewe ni punguani.Najua
Naungana naweMungu nisamehe hii dhambi naomba afe tena wkt ameshakufa
Wanapima upepo ila wanasumbuliwa na wivu, wanatamani aliyofanya wangefanya wao ila ndo hivyo hawana uwezo wala ujasiriKuna wachawi wachache wanahangaika kuzima ukweli huu lkn wanakwama!
Achana nao vyeti feki hao, bado wana uchunguKuna wachawi wachache wanahangaika kuzima ukweli huu lkn wanakwama!
Nimesema afe ht km amesha kufa na sibadili kituKama unalijua hilo basi itoshe kusema kuwa wewe ni punguani.
Samahani lakini.
We hautaki kumkumbuka auWapi wewee🚮
Una ushahidi gani kuwa yeye ndio namba wani kwa kuipenda tz na watzMpaka sasa ndo mtanzania namba wani kwa kuipenda tz na watz, Magu tunamshukuru Mungu alizaliwa tz, mtu mwenye akili nyingi, mtu na nusu
Hiyo new gen siyo mimi wala weweUkifa wew Kuna new generation itamkumbuka
NeverWe hautaki kumkumbuka au
Hehehe!!!Never
Sina clip za fashistiAcha ulofa wewe, furaha Kwa wengi wakina nani? unaejaribu kumdanganya ni nani? Weka clip za msiba wake hapa tuone idadi ya wanaohuzunika na wale wanaofurahia wepi wengi! Vyeti feki mna hasira mpk leo!
Vyeti feki hao na mafisadiMfuateni huyo mshamba wenu muuaji. Ni binadamu wa kwanza watu kushangilia kifo chake