Tutakukumbuka milele na milele Magufuli

Tutakukumbuka milele na milele Magufuli

mbozimbozi kumwitu

Senior Member
Joined
Mar 8, 2025
Posts
156
Reaction score
189
Ni mwaka nne mpaka Sasa hatuko naye aliyekuwa raisi wetu mpendwa namba moja hapa Tanzania,watu wa maisha ya chini walimupenda sana.,video hapo chini ni maneno aliyozungumza wakati wa corona.corona ilitikisa maraisi wa nchi kubwa duniani lkn mwamba alisimama na Mungu na kuwatoa hofu Watanzania.

 
Ni mwaka nne mpaka Sasa hatuko naye aliyekuwa raisi wetu mpendwa namba moja hapa Tanzania,watu wa maisha ya chini walimupenda sana.,video hapo chini ni maneno aliyozungumza wakati wa corona.corona ilitikisa maraisi wa nchi kubwa duniani lkn mwamba alisimama na Mungu na kuwatoa hofu Watanzania.

View attachment 3271796
Kifo chake ni furaha kwa wengi. Magufuli hakuwa tu dikteta, Ila pia fashisti, mnyama na katili kupindukia
 
Mwandiko wako na ID inaonyesha kabisa wewe ni mtu wa ndanindan huko usukumani na ukuryan ambapo ndio Magufuli alipendwa
 
Ni mwaka nne mpaka Sasa hatuko naye aliyekuwa raisi wetu mpendwa namba moja hapa Tanzania,watu wa maisha ya chini walimupenda sana.,video hapo chini ni maneno aliyozungumza wakati wa corona.corona ilitikisa maraisi wa nchi kubwa duniani lkn mwamba alisimama na Mungu na kuwatoa hofu Watanzania.

View attachment 3271796
Mtamkumbuka milele vipi wakati hamuishi milele mwanangu? Mie nitamkumbuka tu lakini siyo milele kwa vile sitaishi milele.
 
Mwandiko wako na ID inaonyesha kabisa wewe ni mtu wa ndanindan huko usukumani na ukuryan ambapo ndio Magufuli alipendwa
Na ww sio ww ndugu mdudu anakusumbua,maguli alikuwa raisi wa wantanzania angalia Kila sehemu walilokuwa wanamuaga watu walikuwa wengi sana..
 
Kifo chake ni furaha kwa wengi. Magufuli hakuwa tu dikteta, Ila pia fashisti, mnyama na katili kupindukia
Acha ulofa wewe, furaha Kwa wengi wakina nani? unaejaribu kumdanganya ni nani? Weka clip za msiba wake hapa tuone idadi ya wanaohuzunika na wale wanaofurahia wepi wengi! Vyeti feki mna hasira mpk leo!
 
Ni mwaka nne mpaka Sasa hatuko naye aliyekuwa raisi wetu mpendwa namba moja hapa Tanzania,watu wa maisha ya chini walimupenda sana.,video hapo chini ni maneno aliyozungumza wakati wa corona.corona ilitikisa maraisi wa nchi kubwa duniani lkn mwamba alisimama na Mungu na kuwatoa hofu Watanzania.

View attachment 3271796
Mfuateni huyo mshamba wenu muuaji. Ni binadamu wa kwanza watu kushangilia kifo chake
 
Mpaka sasa ndo mtanzania namba wani kwa kuipenda tz na watz, Magu tunamshukuru Mungu alizaliwa tz, mtu mwenye akili nyingi, mtu na nusu
Kuna wachawi wachache wanahangaika kuzima ukweli huu lkn wanakwama!
 
Back
Top Bottom