logan007
Senior Member
- Nov 22, 2020
- 197
- 200
Takribani ni wiki mbili toka tangazo halali linalowataka vijana wenye sifa na ari ya kushiriki Katika zoezi la sensa hapo 23/08/2022 hatimae zoezi la kuomba nafasi hizo za ajira za muda linamaliza leo ifikapo hapo saa sita kamili usiku.
Kilichobakia tusubiri MBIVU NA MBICHI katika mkeka wetu huu wa sensa.
Tuonane kwenye SEMINA.
Kilichobakia tusubiri MBIVU NA MBICHI katika mkeka wetu huu wa sensa.
Tuonane kwenye SEMINA.