Utawala ukifitinika hauwezi kusimama, ni ujumbe wenye maneno machache lakini ukiwa umebeba ujumbe mzito.
Utawala wa CCM umefitinika na kwa hiyo ni mwaka wa kuaga ikulu. Tumeshuhudia migogoro mingi kuanzia chama tawala ambacho ndicho kinaunda serikali na baadae tumeona jinsi watawala wetu wanavyotumia nguvu na pesa kutaka kumalizana kisiasa. Hiyo ni picha wazi kuwa serikali iko bize kupigana vikumbo ili kunyakua rasilimali za taifa.
Kwa kufitinika huko ni wazi kuwa kidole kimeshaandika kwenye ukuta na wenye kujua alama za nyakati tunajua kuwa CCM haiwezi kusimama kama chama tawala.
mene mene tekeli na perezi!!
naomba wadau tuweke migogoro iliyoko ndani ya chama tawala na serikali yake ili tuone ni kwa kiasi gani serikali hiyo haiwezi kuwa moja tena.
Utawala wa CCM umefitinika na kwa hiyo ni mwaka wa kuaga ikulu. Tumeshuhudia migogoro mingi kuanzia chama tawala ambacho ndicho kinaunda serikali na baadae tumeona jinsi watawala wetu wanavyotumia nguvu na pesa kutaka kumalizana kisiasa. Hiyo ni picha wazi kuwa serikali iko bize kupigana vikumbo ili kunyakua rasilimali za taifa.
Kwa kufitinika huko ni wazi kuwa kidole kimeshaandika kwenye ukuta na wenye kujua alama za nyakati tunajua kuwa CCM haiwezi kusimama kama chama tawala.
mene mene tekeli na perezi!!
naomba wadau tuweke migogoro iliyoko ndani ya chama tawala na serikali yake ili tuone ni kwa kiasi gani serikali hiyo haiwezi kuwa moja tena.