Ukienda kwenye shule kubwa kama FEZA,IST ama kwenye vyuo kama MUHAS,hutakosa kuwaona watanzania ama raia wenye asili ya ki"asia"wakisoma kozi kama medicine,dental,nursing ama pharmacy.
Lakini wakimaliza shule hutawaona hao watu wakiomba ajira ama wakipangiwa kwenye hospitali zetu za mikoa,wilaya n.k.
Ukiletewa orodha ya wamiliki wa night club,casino na sehemu kubwa za starehe,70% ni zao wenye asili ya kiasia(wahindi,waarabu etc,) lakini hata siku moja hutamuona muhindi amelewa chakari yupo kwenye club,hutamuona muhindi akicheza kamari,ama akila bata kwa kuhama kiwanja na Alteza yake,kama wafanyavyo vijana wengi wa mjini wenye asili ya kiafrika.
Ni kawaida kwa mwanafunzi aliyesoma sekondari za St Francis na Marian,ama zinazofanana na hizo...na kufaulu vizuri kisha kupata first class chuo,kumuona akiomba kufanya kazi kwenye kampuni za transportaions ama clearing na forwarding za waarabu ama wahindi.
Sijasema elimu sio muhimu,ama kumsomesha mwanao shule za bei apate elimu bora si muhimu la hasha.
Nachopenda kuzungumzia hapa ni "malezi",elimu ya awali ambayo itamsaidia huyo msomi kujitambua na kuitumia hio elimu.
Kuwa na elimu na kuitumia hio elimu ni vitu viwili tofauti. Nigeria ina wasomi wengi wa chuo kikuu kuliko Algeria,lakini ni ndoto ya kila mnaijeria kufanya kazi ama kusoma tena angalau certificate Algeria.
South africa ina wasomi wengi wa phd mara 1000 ya kuwait,ila kuwait dinnar ndio pesa inayoongoza kwa thamani.
Hata ukiwa elimu za juu,ni ngumu sana kukutana na wanafunzi wenye asili ya kiasia,wakiwa na tabia za wizi,umalaya,uzinzi,ulevi,majungu,unafiki,eteti mkute yupo UVCCM au BAVICHA kama sisi ngozi nyeusi.
Unadhani tatizo ni nini?
Tatizo ni wazazi wanatuaminisha tusome tupate elimu,lakini hawatufundishi jinsi ya kuitumia hio elimu. Hata asiyesoma anaweza kuitumia elimu ikamsaidia vya kutosha akamuacha msomi anatanga tanga halijui alitendalo.
Ndio huyo anakuja kuingia mkataba wa madini asilimia 3 kwa 97.Unadhani kwa nini nchi za waarabu madini/mafuta/gesi yanawanufaisha wazawa vilivo?
Jibu ni moja tu;watoto wanafundishwa uthubutu,nidhamu,upendo,tabisa njema etc,so anakua na spirit ya kupambania umma kwa maslahi mapana ya nchi.
Sasa unakuta mwanafunzi wa kiafrika anasoma mechanical engineering yupo chuo anawaza amiliki vitz ya mtumba,lini atakuja kugundua gari yake.
Mwanafunzi anayesoma minerals engineering anawaza jinsi atakavyokula bata akiajiriwa mgodini,kwa nini asiingie mikataba ya kipuuzi ili apate chake mapema.
Ni wajibu wetu wazazi kuwafundisha watoto wetu nidhamu ya maisha. Pablo escobar pamoja na kumfundisha mtoto wake kurithi biashara ya madawa ya kulevya,lakini alifanikiwa kumfundisha mtoto wake madhara ya madawa hayo,kiasi anamiliki labs za kutengeneza lakini haonji(discipline).
hata mtoto umpeleke havard(kama Andrew Chenge), kama hajamfundisha,nidhamu,kujitambua,budjeting,kuona fursa kwa jicho la tatu.....bado hio elimu wajanja wataitumia na kumuacha yeye akizunguka kuacha pesa kwenye bar/night club za watoto waliofundishwa matumizi ya elimu.
MATUMIZI YA ELIMU NI JAMBO KUBWA KULIKO HATA ELIMU YENYEWE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini wakimaliza shule hutawaona hao watu wakiomba ajira ama wakipangiwa kwenye hospitali zetu za mikoa,wilaya n.k.
Ukiletewa orodha ya wamiliki wa night club,casino na sehemu kubwa za starehe,70% ni zao wenye asili ya kiasia(wahindi,waarabu etc,) lakini hata siku moja hutamuona muhindi amelewa chakari yupo kwenye club,hutamuona muhindi akicheza kamari,ama akila bata kwa kuhama kiwanja na Alteza yake,kama wafanyavyo vijana wengi wa mjini wenye asili ya kiafrika.
Ni kawaida kwa mwanafunzi aliyesoma sekondari za St Francis na Marian,ama zinazofanana na hizo...na kufaulu vizuri kisha kupata first class chuo,kumuona akiomba kufanya kazi kwenye kampuni za transportaions ama clearing na forwarding za waarabu ama wahindi.
Sijasema elimu sio muhimu,ama kumsomesha mwanao shule za bei apate elimu bora si muhimu la hasha.
Nachopenda kuzungumzia hapa ni "malezi",elimu ya awali ambayo itamsaidia huyo msomi kujitambua na kuitumia hio elimu.
Kuwa na elimu na kuitumia hio elimu ni vitu viwili tofauti. Nigeria ina wasomi wengi wa chuo kikuu kuliko Algeria,lakini ni ndoto ya kila mnaijeria kufanya kazi ama kusoma tena angalau certificate Algeria.
South africa ina wasomi wengi wa phd mara 1000 ya kuwait,ila kuwait dinnar ndio pesa inayoongoza kwa thamani.
Hata ukiwa elimu za juu,ni ngumu sana kukutana na wanafunzi wenye asili ya kiasia,wakiwa na tabia za wizi,umalaya,uzinzi,ulevi,majungu,unafiki,eteti mkute yupo UVCCM au BAVICHA kama sisi ngozi nyeusi.
Unadhani tatizo ni nini?
Tatizo ni wazazi wanatuaminisha tusome tupate elimu,lakini hawatufundishi jinsi ya kuitumia hio elimu. Hata asiyesoma anaweza kuitumia elimu ikamsaidia vya kutosha akamuacha msomi anatanga tanga halijui alitendalo.
Ndio huyo anakuja kuingia mkataba wa madini asilimia 3 kwa 97.Unadhani kwa nini nchi za waarabu madini/mafuta/gesi yanawanufaisha wazawa vilivo?
Jibu ni moja tu;watoto wanafundishwa uthubutu,nidhamu,upendo,tabisa njema etc,so anakua na spirit ya kupambania umma kwa maslahi mapana ya nchi.
Sasa unakuta mwanafunzi wa kiafrika anasoma mechanical engineering yupo chuo anawaza amiliki vitz ya mtumba,lini atakuja kugundua gari yake.
Mwanafunzi anayesoma minerals engineering anawaza jinsi atakavyokula bata akiajiriwa mgodini,kwa nini asiingie mikataba ya kipuuzi ili apate chake mapema.
Ni wajibu wetu wazazi kuwafundisha watoto wetu nidhamu ya maisha. Pablo escobar pamoja na kumfundisha mtoto wake kurithi biashara ya madawa ya kulevya,lakini alifanikiwa kumfundisha mtoto wake madhara ya madawa hayo,kiasi anamiliki labs za kutengeneza lakini haonji(discipline).
hata mtoto umpeleke havard(kama Andrew Chenge), kama hajamfundisha,nidhamu,kujitambua,budjeting,kuona fursa kwa jicho la tatu.....bado hio elimu wajanja wataitumia na kumuacha yeye akizunguka kuacha pesa kwenye bar/night club za watoto waliofundishwa matumizi ya elimu.
MATUMIZI YA ELIMU NI JAMBO KUBWA KULIKO HATA ELIMU YENYEWE.
Sent using Jamii Forums mobile app