Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,574
- 272,320
95% ya watanzania mnatumia Tecno , mnategemea nini ?
Kweli mkuu tunawapokea kwa wingi sana wanadai wanakuja kutalii sababu ni msimu wa sikukuu kule kwao na kuepuka ugonjwa pia ipo.Niliona juzi ktk tv habari Uwanja wa ndege KIA wageni wakishuka miongoni mwao walikuwepo wachina!tena wachina walionyesha furaha ya waziwazi kufanikiwa kuingia nchini.
Kweli mkuu tunawapokea kwa wingi sana wanadai wanakuja kutalii sababu ni msimu wa sikukuu kule kwao na kuepuka ugonjwa pia ipo.
Tatizo waliopewa jukumu la kupima wageni ugonjwa ndiyo hawapo makini ukifuatilia pale airport.
Ukiingia nchini Watakaoanza kupukutika ni wasafiri wanaotumia mwendokasi Udart njia ya Kimara/Mbezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuelewa
Hii utaipata wapi?,hebu fikilia China na maviwanda you Yale bado wanapungukiwa na hii kituWote hao na wengine wasiotumia daladala watadhurika tu, cha msingi tuanze na hizi kitu ni full fulsa mdau au... View attachment 1360517
Tutaziagiza kutoka nchi gani?Wote hao na wengine wasiotumia daladala watadhurika tu, cha msingi tuanze na hizi kitu ni full fulsa mdau au... View attachment 1360517
China hawakujipanga ilikuwa gafla na kuna waliowin.Hii utaipata wapi?,hebu fikilia China na maviwanda you Yale bado wanapungukiwa na hii kitu
👆Tutaziagiza kutoka nchi gani?
Inaonekana unapenda huu ugonjwa utokee unavyosisitiza hizo musk.....huko China zimezuia maambukizi kwa kiasi gani mpaka sasa?China hawakujipanga ilikuwa gafla na kuna waliowin.
👆
Muda ndiyo huu mkuu kwenda kununua kwa jumla kwenye maduka ya jumla na kuhifadhi ili baadaye biashara ifanyike.
👆
Mkuu zilizopo madukani zitakupa faida ya kutosha, kumbuka kwenye shida ndipo wengine upiga pesa.
Tahadhari mkuu. Nyumba ya jirani yako ikiwaka moto wewe kwako unachukua tahadhari, siyo kukaa na kutoa kauli as yours. |