Mbna usiku sana..Robo fainali CAFCL Kickoff time
Yanga SC Vs Mamelodi 30 Machi,2024 Jumamosi saa 3:00 usiku BENJAMIN MKAPA.
Hii maana yake Simba SC Vs Ahly itakuwa tarehe 29 Machi, 2024 Ijumaa saa 3:00 Usiku pia.
Unakwenda na pesa ya kutosha kama hamjafungwa basi ukitoka kwenye Game unapitia kwenye Kujifariji mpaka majogoo; Au Mkifungwa unapitia kwenye Kupunguza Huzuni mpaka Majogoo piaSaa 3 chuma inaisha saa 5 iyo. Mtu unafika home saa 7
Kwa hatua hizi za robo fainali na hata group stage hasa zile hatua za mwisho kabisa anaepanga saa ni CAF na faida ya nchi zote zinashiriki ili mechi zionekane muda ambao unaruhusu mashabiki kwenda uwanjani kutokana na tofauti ya saa baina ya nchi na nchi though Kuna Kwa baadhi ya hatua CAF wanapanga siku na saa ila wanampa nafasi mwenyeji kupendekeza muda ambao anadhani unafaa na CAF wanafuata kama upo vizuriNani anayepanga siku na Saa na Kwa faida ya Nani?
Unabena na gwanda za kesho job kabisa.Unakwenda na pesa ya kutosha kama hamjafungwa basi ukitoka kwenye Game unapitia kwenye Kujifariji mpaka majogoo; Au Mkifungwa unapitia kwenye Kupunguza Huzuni mpaka Majogoo pia
Saa 3 chuma inaisha saa 5 iyo. Mtu unafika home saa 7
Upendeleo kwa Waarabu, mbona mechi za Mamelody Sundown zinachezwa mchana au jioni?
Kichwa cha habari kuchanganya kiingereza na kiswahili ni ushambaRobo fainali CAFCL Kickoff time
Yanga SC Vs Mamelodi 30 Machi,2024 Jumamosi saa 3:00 usiku BENJAMIN MKAPA.
Hii maana yake Simba SC Vs Ahly itakuwa tarehe 29 Machi, 2024 Ijumaa saa 3:00 Usiku pia.
Mechi ya marudiano baina Ya Mamelod vs Yanga pia itapigwa usiku vile vile kule SouthUpendeleo kwa Waarabu, mbona mechi za Mamelody Sundown zinachezwa mchana au jioni?
Wameahilisha kutumia akiliSaa 3 chuma inaisha saa 5 iyo. Mtu unafika home saa 7