BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Nchi yetu itaendelea kuitwa LDC miaka yote. Jambo la msingi, ni kupambana ili maisha ya meet standards basi.Hiyo ndio sababu ungempa Nyerere kwa nini inatupasa tununue ndege? Kwamba tununue ndege ili tuwaonyeshe watu hatufi kiuchumi pamoja na kuwa sisi ni mojawapo wa mataifa ambayo ni LDC (Least Developed Countries)