Mi binafsi nikiingia bar,nikiona tu kuna watu wanategea kugonga maji..basi huwa napata wasiwasi sana,huwa nahisi kama vile wanataka sisi tulewe ili watuibie hviii😬Kama ni hivyo hata wanywaji EtOH wangekuwa wananunua na kwenda kunywea home,
Issue sio kunywa tuu, kuna Refreshment, Muziki n.k.
Kama ni hilo, nunua chakula kama ni kuku, kitimoto, mbuzi, samaki n.k unakunywa na juice yako una enjoy, tatizo mnafika sehemu ya kutumia unanunua maji/soda mwenzako mlevi ameweka bia 20 mezani anazipiga mpaka usiku sana, lazima aonekane mteja wa thamani.Nisaidie locations
Zinaoperate hadi Usiku.?
Maana wengine tunapenda iwe Usiku na muziki taraaatibu.
Wew umeingia mtini na story yakoKwanini hunywi bia maana huku JF wote ni walevi tena wa pombe kali!
Nenda psssf COMMERCIAL complex mkabala na mlimani city kila mwisho wa mwezi kuna platform ya stand up comedy,Hivi ni kwanini Ukienda Pub, Lounge au Bar kama hutumii kilevi wahudumu wanakuona kama Takataka?
Ina maana sisi tusiotumia Vilevi hatutakiwi kupata refreshment.
Nani kakudanganya?Sio kwamba wanatuona takataka ni kwamba wanatuona wajanja hawawezi kutuibia kizembe, unajua mtu mlevi ni mtu ambaye akili haiko sawa, hivyo kuibiwa na wahudumu ni rahisi, lakini mtu ambaye sio mlevi anakuwa na akili timamu hivyo hawawezi kumuibia , hivyo basi wanafata walevi maana wanaona fursa yakuwaibia